Rais Samia: Hatukutoa fursa ya Mikutano ya hadhara watu wakavunje sheria, wasimame kutukana, kukashifu na kuchambua dini za wengine

Unaweza ukawa sahihi, lakini ni jukumu la Rais kukemea huo uhuni adharani ili watu wajue hujuma anayofanyiwa na hao wahuni.
 
Tembelea nchi nzima uone mabadiliko kila kukicha.
 
Kama kilichoandikwa ni sahihi basi badala ya kuwakanya ameonyesha kuwaunga mkono kwa kudai kuwa "wanaovunja" sheria wanastahili kuadhibiwa. Na hii ni siku moja tu toka "wanaovunja" sheria kukamatwa Karatu.

Amandla...
 
Lakini pia kuna jambo mahsusi ambalo ndio kila mtu analisubiri la katiba, marekebisho ya katiba yetu ambalo nalenyewe limeanza kufanyiwa kazi na pengine mkutano huu ni kuelekea huko pia.
Kwani tunafanya marekebisho ya katiba iliyoko au tunaandika mpya kama ilivyokuwa rasimu ya Warioba?
Naona watawala wanataka kutupiga changa la macho.
 
Yot
Dini na siasa
E maneno nawili hayo bi ya Kiswahili fasaha na yote yanatokana na Kiarabu. Nisome:

 
Tatizo ni kuwa ni uongo. Huo ukumbi haujawahi kuwa Ikulu ( kimatumizi au kieneo) na haitakuja kutokea hivyo. Ila kwa sababu umezoea uongo huwezi kuona tatizo.

Amandla...
Kiswahili kimekupiga chenga.

Sikushangai, naamini lugha yako mama siyo Kiswahili.
 
Mikutano sio hisani ni kwa mujibu wa Katiba ya nchi.
Asitufokee… Kama umetukanwa nenda mahakamani.
Kama unaona unakerwa fanya moja achilia.
Karibu tunafika
Kumkamata Tundu Lissu jana hamkusoma alama za nyakati kwa ufupi mkuano wako leo kama ni mabalozi walihudhuria wamekuja kukamilisha maelezo subiri majibu…

Dunia jana imejua nchi ipo kwenye utawala gani..
Acha kulalamika rekebisha unapokosea…
 
Upo huru na maoni yako, kwa lipi zaidi?

Wengine tunaona kazi zake adhimu na adimu ni njema sana.

"Wengi wape lakini wengine wasikilize" - mama Samia.

Tunakusikiliza.
Weee bibi usinifokee!
 
CCM ni wapumbavu kiasi gani?? Kwahiyo huyu bibi anahisi kufanyika kwa mikutano ya hadhara ya chama ni msaada toka kwake???

Yani wamejitwika umungu mtu kiasi cha kuamini haki za raia ni msaada kutoka kwao.

Laana ya milele iwakumbe hawa ma CCM.
 
Bi mama anahisi katoa ihsan.
 
Yaani nimesikiliza hotuba ya Maza, ije mvua lije jua lazima aendelee 2025... Labda kwa mapenzi ya Mungu mambo yabadilike.

Eti anadai Watanzania hawajui katiba. Sasa sijui wakati akiwa Spika wa Bunge la katiba alikuwa haijui hilo.

Hivi kuna nchi gani ambazo wananchi wake wanaijua katiba tofauti na nchi yetu!?
 
Kwamba wametoa Fursa ?!!!!

Sio kwamba ni Haki ya Kikatiba ? Ni pale ambapo Haki inageuka kuwa Hisani ndipo utakapojua hawa sio Watumishi wetu wala Viongozi bali ni Watawala....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…