Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza ukawa na Hoja Nzuri pengine lakini ukiwakilisha kwa utovu wa nidhamu lazima ukele WengineKwa CCM matusi ni kama:
1. Kudai katiba mpya
2. Kukataa ardhi yetu kuporwa
3. Kukataa kubambikiwa kesi
4. Kukataa kutekwa
5. Kukataa kikokotoo
6. Kukataa mauaji au kupigwa risasi
7. Kukataa kuporwa berue de change
9. Kukataa kuporwa kwa fedha za umma na ccm
10. Kutaka huduma nzuri za kijamii
11. Kukataa kuporwa uchaguzi
Endelea
Afadhali ingeleta maana.Aandikiwe. Asome kilichoandikwa.
Siku ya leo tarehe 11/9 umefanyika mkutano ambao Rais alitoa hotuba. Na asilimia kubwa Rais alitumia kujitetea dhidi ya uhuru wa mikutano ya Siasa, mabadiliko ya katiba na kadharika. Kazi ambayo ilitakiwa ifanywe na Chawa (Mataga).
View: https://www.instagram.com/p/CxDnxEbqY8f/?igshid=MzRlODBiNWFlZA==
Lakini wengine wanasema kuwa Machawa wanashindwa kutetea kwa sababu kiuhalisia hakuna kitu Rais anachofanya ambacho wanaweza kukitumia kama Weapon of destruction.
Ukizungumzia uhuru wa mikutano ya siasa, utabananishwa kuhusu Sakata la Tundu Lissu kule ngorongoro. Ukileta kwenye maendeleo utabananishwa na sakata la bandari, ukileta huduma za kijamii utabananishwa na Sakata la Petrol na Mgao wa umeme unaoendelea nchini. Ukileta mambo ya Uchumi utabananishwa kuhusu upungufu wa Dollar Nchini na kadharika. Bado swala la katiba na uchaguzi huru.
Hivyo kupelekea Mataga a.k.a Chawa wa Rais kukosa namna ya kumtetea kiongozi wao. Na mwishowe Rais inabidi ajitetee mwenyewe kwenye mikutano ya hadhara.
Why should I get posted there!?😳😳In the heart of Rwanda & Burundi.
Bibi huo mchakato ulishapita na hela mkala... Huyu Bi mwenzio alikua pale juu kwenye kiti..Kwani unekatazwa kutowa maoni yako ya katiba?
Muhishimiwa Madelu forcebly sent you out there.Unfotunately,you were at large in a hideout!😂😂😂Why should I get posted there!?😳😳
HeheheeChawa wamemuacha mama pekee yake. Leo kabaki kukoromea akina Lissu eti hawana maadili, wakati ripoti ya CAG wameificha.
Hela za nini tumekula? Au haukuona kuwa mchakato wa katiba uliishia njiani wakati wa Kikwete?Bibi huo mchakato ulishapita na hela mkala... Huyu Bi mwenzio alikua pale juu kwenye kiti..
Yeye si alisema ameziba maskion jamani[emoji116]View attachment 2746153
Ukweli SIKU ZOTE UNAUMA[emoji116]View attachment 2746153