Rais Samia: Hatukutoa fursa ya Mikutano ya hadhara watu wakavunje sheria, wasimame kutukana, kukashifu na kuchambua dini za wengine

Rais Samia: Hatukutoa fursa ya Mikutano ya hadhara watu wakavunje sheria, wasimame kutukana, kukashifu na kuchambua dini za wengine

Kwa CCM matusi ni kama:
1. Kudai katiba mpya
2. Kukataa ardhi yetu kuporwa
3. Kukataa kubambikiwa kesi
4. Kukataa kutekwa
5. Kukataa kikokotoo
6. Kukataa mauaji au kupigwa risasi
7. Kukataa kuporwa berue de change
9. Kukataa kuporwa kwa fedha za umma na ccm
10. Kutaka huduma nzuri za kijamii
11. Kukataa kuporwa uchaguzi
Endelea
Unaweza ukawa na Hoja Nzuri pengine lakini ukiwakilisha kwa utovu wa nidhamu lazima ukele Wengine
 
Siku ya leo tarehe 11/9 umefanyika mkutano ambao Rais alitoa hotuba. Na asilimia kubwa Rais alitumia kujitetea dhidi ya uhuru wa mikutano ya Siasa, mabadiliko ya katiba na kadharika. Kazi ambayo ilitakiwa ifanywe na Chawa (Mataga).


View: https://www.instagram.com/p/CxDnxEbqY8f/?igshid=MzRlODBiNWFlZA==

Lakini wengine wanasema kuwa Machawa wanashindwa kutetea kwa sababu kiuhalisia hakuna kitu Rais anachofanya ambacho wanaweza kukitumia kama Weapon of destruction.

Ukizungumzia uhuru wa mikutano ya siasa, utabananishwa kuhusu Sakata la Tundu Lissu kule ngorongoro. Ukileta kwenye maendeleo utabananishwa na sakata la bandari, ukileta huduma za kijamii utabananishwa na Sakata la Petrol na Mgao wa umeme unaoendelea nchini. Ukileta mambo ya Uchumi utabananishwa kuhusu upungufu wa Dollar Nchini na kadharika. Bado swala la katiba na uchaguzi huru.

Hivyo kupelekea Mataga a.k.a Chawa wa Rais kukosa namna ya kumtetea kiongozi wao. Na mwishowe Rais inabidi ajitetee mwenyewe kwenye mikutano ya hadhara.

Wako bize kutafuta teuzi tu.
 
CODES OF ETHICS ZIFUATWE KELELE ZA MATUSI TUMESHAZIPINGA SANA HAPA NADHANI SASA TARATIBU TULIZOJIWEKEA ZIFUATWE NA WAHUNI WAWAJIBISHWE BILA HURUMA YOYOTE.
 
Bibi huo mchakato ulishapita na hela mkala... Huyu Bi mwenzio alikua pale juu kwenye kiti..
Hela za nini tumekula? Au haukuona kuwa mchakato wa katiba uliishia njiani wakati wa Kikwete?

Unazijuwa sababu za mkutano ule wa katiba kumalizka bungeni? Ni kuwa wabunge wengine wamepiga kura ndiyo na wengine hapana na hazikutimia na mujda waliopewa ukawa umekwisha.

Utamlaumu mama Samia ambae kayaona hayo na kasema watu wapee muda wa kutosha kuielewa katiba?

Wewe unaielewa katiba?
 
Back
Top Bottom