Rais Samia: Kuna mtu kakopa benki zetu 5 katoweka

Hivi mpaka hapo yule Mwigulu anatosha??
 
Kuna Raos amewahi chukua hatua dhidi ya mafisafi na wabafhirifu wa mali za umaa? Nakumbuka mmoja yeye alijua anadeal na wapinzani tu, hiyo nguvu angeiyumia kuwawajibisha hawa wezi tungeona nafuu
Magu kwenye madhimisho ya mahakama (ilikuwa miaka 100 ya mahakama),aliongea mbele ya jaji mkuu kwamba wazipush kesi za mafisadi ambazo kwa kinywa chake alisema kama kesi zingeendeshwa serikali ilikuwa na uwezo wa kuingiza 300+tn.Baadae mawakakili,l,wanaharakati wakiongozwa na wale madada waaojiita mashangazi,wanasiasa na baadhi ya NGO,wakadai rais dikteta anaingili uhuru wa mahakama.

Ndio maana Magu alikuwa anawambia mfisadi watoe hela aondoe kesi mahakamani, watu mkalalamika anapora hela za watu nk.

Sasa ulitaka afanye nini wakati mpaka majaji walimkwamisha.

Hii nchi ukicheka na kima lazima watakurudisha nyuma.
 
Acha kutupanga Mkuu!
Kwani Samia ni mgeni serikalini,anasubiri nini kuchukua hatua!
 
Kwahiyo Sa100 utaenda na mwigu tena kukopa Ili kufidia HASARA hiyo ya mabenki halafu wananchi wanaolala njaa ndo walipie Riba na mikopo hiyo?

Sa100 unapewa Ripoti Badala ya kuchukua hatua, unarudisha mpira Kwa Takukuru na vyombo vilivyoshindwa kuzuia wizi huo?

Siamini ni mfanyabiashara Kaiba, ni CCCCCM wamechota pesa za maandalizi ya uchaguzi 2024.
 
Kuna sehemu nilimsikia Rais wetu akisema mnaiba fedha zote hizo za nini? Hamtosheki?
Harafu kasema : Kama mmeshindwa kuwatoa hao wabadhirifu wa fedha za umma basi wahamisheni vituo vyao vya kazi muwapeleke kule kwenye sehemu za mapato madogo!
 
Hiyo si kweli mama amesinzia mno. Mwamba alikuwa halali si kwa kutaka sifa bali ku detect huu upuuzi wa majizi. Sasa yeye anasubiri tuuuu kazi kucheza mdako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…