Rais Samia na msafara wa Magari zaidi ya 150, tulipe tozo nchi ijiendeshe
Nime subscribe kwenye hii thread ibaki km kumbukumbu kwa cku zijazo I believe tutatolea mifano hai huu ufujaji wa mali ya umma
 
Rais wetu namfananisha na Marie Antoinette Mke wa King Lousi wa Ufaransa kabla ya Mapinduzi.

Rais anasisitiza sana tulipe Tozo na kodi ili nchi ijiendeshe yenyewe bila mikopo. Wakati huo huo yeye akiwa ndio mtumaiji mbaya wa hizo pesa na akiwa na matumizi ya anasa, akiwa anatumia Ikulu mbili za Dodoma na Dar es salaam, akiwa na msafara mkubwa kuliko sasa kiongozi yoyote yule Afrika na Duniani.

Ukiangalia huo msafara ni inatisha, huwezi amini kuna shule hazina matundu ya vyoo na tunangoja USAID watujengee.

...raia wana njaa mama! WAPENI KEKI BASI....!

View: https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1813930010677522922
IMG_20240719_204704.jpg


View: https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1813930010677522922/video/1

HUKU RAIA TUKILALAMIKA HAKUNA..

LOCAL LIBRARIES!

VIWANJA VYA KUCHEZA WATOTO VYENYE BEMBEA WALA MICHEZO YOYOTE ILE..

MABASI YA SHULE YA WATOTO SHULE ZA KATA!

NK NK NK

WAO BATA BATA BATA KWA KWENDA MBELE.....WAKIFUMBIA MATATIZO YOTE TULIONAYO NA KIZAZI KIJACHO!
IMG_20240719_204704.jpg
 
Kwa staili hii hatutoboi,always womans hawana maono na ndiyo huwa wakatili sana,
 
Rais wetu namfananisha na Marie Antoinette
Rais wetu namfananisha na Marie Antoinette Mke wa King Lousi wa Ufaransa kabla ya Mapinduzi.

Rais anasisitiza sana tulipe Tozo na kodi ili nchi ijiendeshe yenyewe bila mikopo. Wakati huo huo yeye akiwa ndio mtumaiji mbaya wa hizo pesa na akiwa na matumizi ya anasa, akiwa anatumia Ikulu mbili za Dodoma na Dar es salaam, akiwa na msafara mkubwa kuliko sasa kiongozi yoyote yule Afrika na Duniani.

Ukiangalia huo msafara ni inatisha, huwezi amini kuna shule hazina matundu ya vyoo na tunangoja USAID watujengee.

Mama anaupiga mwingi kwanza Huo msafara ni mdogo ulipaswa uwe Magarin350
 
Huyu Mama yenu jau kweli, sa anamwogops nani nae kama sio sifa tu na utumbuaji?

Wakati wananchi tunatumia TECNO yeye anaenjoy tu🤔
 
...raia wana njaa mama! WAPENI KEKI BASI....!

View: https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1813930010677522922
View attachment 3046630

View: https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1813930010677522922/video/1

HUKU RAIA TUKILALAMIKA HAKUNA..

LOCAL LIBRARIES!

VIWANJA VYA KUCHEZA WATOTO VYENYE BEMBEA WALA MICHEZO YOYOTE ILE..

MABASI YA SHULE YA WATOTO SHULE ZA KATA!

NK NK NK

WAO BATA BATA BATA KWA KWENDA MBELE.....WAKIFUMBIA MATATIZO YOTE TULIONAYO NA KIZAZI KIJACHO!View attachment 3046630

Hatari sana
 
Nimehesabu 118
Alafu kuna raia anasimama anasema lipeni kodi nchi iweze kujiendesha.
 
Back
Top Bottom