wacha twende tutafika nchi ya ahadi anayotupeleka mama.

nchi ambayo kila mtu atabembelezwa achague adhabu ipi inamfaa baada ya kutenda kosa.
mtu anatenda kosa barabarani makusudi anashauri aonywe[emoji23][emoji23][emoji23].

uzuri ni kwamba hazina hakuna biashara inafanyila kule,zinaingia ambazo zilitoka[emoji2223][emoji2223][emoji2223]
 
Nami najiuliza Rais SSH ana mpango wakuvunja Mahakama ya Mafisadi? Kama mwelekeo ndio huo "Mission Town" zitarejea ikiwa ni pamoja na vijiwe vya madawa ya kulevya.


Ila kwa uhakika hotuba zake zinatia matumaini ya Uhuru na Haki. Lakini kwa jinsi ya Watanzania tulivyo, yatabaki kuwa tu maneno ya kwenye jukwaa.
 
Nchi ikikosa Rais mzuri mifumo yote inakuwa ya kishetani. Akina Igp siro leo wanafanya kazi kwa uhuru kwa mujibu wa sheria za nchi. Wametukosea sana kwa kushiriki maovu na vitendo vibaya wakati wa Ibilisi Jiwe.
unadiriki kumwita binaadam mwenzako ibilisi mkuu??

ni hasira kiasi gani ulizo nazo kwa marehemu??

usimkasirishe Mungu akakugeukia kwa ghadhabu kuu,kubali kwamba maamuzi yake yametosha usizue mengine kwenye maisha yako.
 
Chuki zaidi ya uhalisia. Ungekuwa na ndugu anayesota mahabusu kwa kesi isiyo na kichwa wala miguu usingesema haya. Ungekuwa na ndugu ambaye kosa lake ni kupiga kampeni tu na kisha kuwekwa mahabusu KWA kesi ya uhujumu uchumi usingesema haya.
upige kampeni upewe kesi ya uhujumu uchumi!!!lisu angefungwa sasa,maana amepiga kampeni miezi 3 na kamaliza akaelekea zake ulaya.
 
Kwahiyo kesi zote 147 zilikua za kuumiza watu wasiyo na hatia? kweli ngozi nyeusi hatupendani...yaani mtu anaona rahaa kwa mwenzie kupoteza rasilimali zake bila hatia yoyote.
Yule mjeda aliona raha kuwa na mikesi mingi.....
Mama alimuambia kuwa sio sifa kuwa na makesi mengi yasiyo na ushahidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mataga watapata tabu sana awamu hii ya 6. Hii psychological torture wanayopewa kila uchao sio ya kitoto ati!
ajabu nyumbu ndio wanapiga kelele[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Reactions: SMU
Yaani "legacy" inazidi kudidimia tu.

Muosha, huoshwa. Zamu yake sasa.

...wafuasi wake ndio hivyo watafute namna nyingine ya mungu wao kuendelea kuwa relevant akiwa 6' under.
 
Ila polisi walizidisha aisee wanaweza kupiga hata 90000

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo kesi zote 147 zilikua za kuumiza watu wasiyo na hatia? kweli ngozi nyeusi hatupendani...yaani mtu anaona rahaa kwa mwenzie kupoteza rasilimali zake bila hatia yoyote.
Sio zifutwe tu!!?
serekali inabidi ilipe fidia....
ili iwe fundisho kwa viongozi wabambikaji kesi
 
Kwahiyo kesi zote 147 zilikua za kuumiza watu wasiyo na hatia? kweli ngozi nyeusi hatupendani...yaani mtu anaona rahaa kwa mwenzie kupoteza rasilimali zake bila hatia yoyote.
Ndiyo maana ni muhimu, kuchunguza kwa umakini, kabla ya mtu kumwingiza kwenye mfumo wa utawala, kujua kama huyo mtu ana Roho wa Mungu au ana roho ya ibilisi.

Makosa yaliyofanyika mwaka 2015, sote tumeshuhudia madhara yake miaka 5 iloyofuatia. Angalia jinsi watu walivyoumizwa. Wapo waliobambikiwa kesi, wapo waliouawa, wapo waliotekwa na kupotezwa, wapo walioshambuliwa kwa risasi mithili ya simba mla watu.

Hongera Mama Samia, kwa kutaka kulirudisha Taifa letu kwenye ustaarabu baada ya uharibifu wa miaka wamiaka 5.
 
Wabambikizaji ni ccm.
Ambapo hata yule anayesema za kubambika ndio kiongozi wake.....anamlenga nani.......jiwe gizani........tunasubiria pia wanajeshi watapewa changamoto ipi kuhusu operesheni 'MKIRU' hapo ndipo penye kipimo cha 'impartiality justice'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…