wacha twende tutafika nchi ya ahadi anayotupeleka mama.Huoni hata leo IGP kajikakamua kusema mapato ya usalama barabarani yamepungua kwa vile watu hawafanyi makosa tena. Akidhani ni ujiko kukusanya fine za barabarani. Mh. Rais kamzodoa kwamba wasitegemee fine kama chanzo cha mapato. Bali watoe elimu watu wasifanye makosa.
Nami najiuliza Rais SSH ana mpango wakuvunja Mahakama ya Mafisadi? Kama mwelekeo ndio huo "Mission Town" zitarejea ikiwa ni pamoja na vijiwe vya madawa ya kulevya.Kabla ya kushangilia shinikizo la rais kwa vyombo vya usalama kuhusu kufutwa kesi zinazoitwa za kubambikiwa watu tujue kwanza kesi zenyewe ni zipi na nani wanahusika kubambikiza kesi hizo
Nasema hivyo kwa sababu kuna kesi za uhujumu mkubwa kama ile ya iptl ambazo zina ugumu kutokana na wahujumu na washirika wao kua na uwezo mkubwa kuvuruga ushahidi au kuzuia ushahidi. Isitoshe licha ya matendo ya uhujumu wao kuleta na madhara makubwa kwa uchumi wa nchi watu hao wakiachiwa eti kwa kukosekana ushahiti bila shaka wataendelea kutumia mahakama kulihujumu taifa kwa kufanya madai ndani na nje ya nchi ambayo yatakua na athari kubwa kwa uchumi wetu.
Kwa hivyo yafaa serikali kuweka wazi kesi zipi zinaitwa za kubambikiza na nani wanashutumiwa kubambikiza. Na kwamba hatua gani zinachukuliwa kwa wabambikizaji. Vinginevyo tutaona fisadi wakubwa wakubwa ambao baada ya kutupwa lupango tumeona utulivu mkubwa wa uchumi na kupungua kwa kasi hujuma kwa uchumi wa nchi.
Acha Ujinga shujaa kuongoza miaka 6 lini ulimsikia akiwaambia polisi kuwapiga mateke mahabusu?Shujaa hapo angewaambia police hao mahabusu wapigeni mateke.
unadiriki kumwita binaadam mwenzako ibilisi mkuu??Nchi ikikosa Rais mzuri mifumo yote inakuwa ya kishetani. Akina Igp siro leo wanafanya kazi kwa uhuru kwa mujibu wa sheria za nchi. Wametukosea sana kwa kushiriki maovu na vitendo vibaya wakati wa Ibilisi Jiwe.
Inawezekana hukuwepo nchini kipindi shujaa akiwaambia ma askari kauli hio.Acha Ujinga shujaa kuongoza miaka 6 lini ulimsikia akiwaambia polisi kuwapiga mateke mahabusu?
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Kauli zake tu zilikuwa zinaonyesha anapenda watu watesekeAcha Ujinga shujaa kuongoza miaka 6 lini ulimsikia akiwaambia polisi kuwapiga mateke mahabusu?
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
upige kampeni upewe kesi ya uhujumu uchumi!!!lisu angefungwa sasa,maana amepiga kampeni miezi 3 na kamaliza akaelekea zake ulaya.Chuki zaidi ya uhalisia. Ungekuwa na ndugu anayesota mahabusu kwa kesi isiyo na kichwa wala miguu usingesema haya. Ungekuwa na ndugu ambaye kosa lake ni kupiga kampeni tu na kisha kuwekwa mahabusu KWA kesi ya uhujumu uchumi usingesema haya.
Yule mjeda aliona raha kuwa na mikesi mingi.....Kwahiyo kesi zote 147 zilikua za kuumiza watu wasiyo na hatia? kweli ngozi nyeusi hatupendani...yaani mtu anaona rahaa kwa mwenzie kupoteza rasilimali zake bila hatia yoyote.
hao wote wakitenda haki,2025 anakosa urais.Mama anataka kama wewe ni polisi tenda haki
Hakimu tenda haki
Takukuru tenda haki
Polisi tenda haki
NEC tenda haki.
ajabu nyumbu ndio wanapiga kelele[emoji23][emoji23][emoji23]Mataga watapata tabu sana awamu hii ya 6. Hii psychological torture wanayopewa kila uchao sio ya kitoto ati!
Na akauza mbuga ya loliondo na kuua watuAlijiuzulu Mwinyi peke yake kwenye historia ya nchi hii.
Na walitaka mahabusu waanze fanyishwa kaziShujaa hapo angewaambia police hao mahabusu wapigeni mateke.
Wezi watahukumiwa mitaani kwa vipigo na moto maana uthibitisho wake huwa mgumu sanaWaizi watarudi mitaani Tu enzi zake zimefika
Yaani "legacy" inazidi kudidimia tu.Hii ni baada ya kutakiwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kuondoa kesi za kubambika.
====
Rais Samia Suluhu: Kwenye suala la wingi wa mahabusu, labda niseme kwamba jana nikiapisha majaji nililigusia hili, uharakishwaji wa kesi na nimezitaka taasisi zote ikiwemo jeshi la polisi ambalo uchunguzi unaanza kwenu kuharakisha chunguzi za kesi mbalimbali zilizopo ili kuharakisha kesi kusikilizwa na iadha kufutwa au mtu kuhukumiwa ipasavyo lakini pia niongee na jeshi la Polisi kupunguza kesi za kubambikiza.
Kuna mlolongo mkubwa wa makesi ya kubambikiza, huu ukipungua na mahabusu watapungua, kwasababu wengi wapo wanasubiri kuhukumiwa, kesi haiendi, ushahidi hakuna, mpelelezi anashindwa kupeleka kesi kwasababu hakuna ushahidi.
Niombe sana, nilizungumza hili na TAKUKURU, wameweza kufuta kesi 147 ambazo waliwabambikizia watu, kwahiyo nanyi Jeshi la polisi jikagueni kama kuna za aina hiyo nazo zifutwe ili tupunguze wingi wa mahabusu kwenye majela yetu.
Baada ya Bunge la bajeti kuna sheria nyingi zinaenda rekebishwaKwakweli Samia suluhu amejifunza mambo mengi kupitia mapungufu ya mtangulizi wake. Hapendi kuendeleza mabaya. Tutarajie hata sheria kandamizi hapo mbeleni zitakuja kupelekwa Bungeni kwa marekebisho
Ila polisi walizidisha aisee wanaweza kupiga hata 90000Huoni hata leo IGP kajikakamua kusema mapato ya usalama barabarani yamepungua kwa vile watu hawafanyi makosa tena. Akidhani ni ujiko kukusanya fine za barabarani. Mh. Rais kamzodoa kwamba wasitegemee fine kama chanzo cha mapato. Bali watoe elimu watu wasifanye makosa.
Sio zifutwe tu!!?Kwahiyo kesi zote 147 zilikua za kuumiza watu wasiyo na hatia? kweli ngozi nyeusi hatupendani...yaani mtu anaona rahaa kwa mwenzie kupoteza rasilimali zake bila hatia yoyote.
Hawakuwa na jinsiNchi ikikosa Rais mzuri mifumo yote inakuwa ya kishetani. Akina Igp siro leo wanafanya kazi kwa uhuru kwa mujibu wa sheria za nchi. Wametukosea sana kwa kushiriki maovu na vitendo vibaya wakati wa Ibilisi Jiwe.
Ndiyo maana ni muhimu, kuchunguza kwa umakini, kabla ya mtu kumwingiza kwenye mfumo wa utawala, kujua kama huyo mtu ana Roho wa Mungu au ana roho ya ibilisi.Kwahiyo kesi zote 147 zilikua za kuumiza watu wasiyo na hatia? kweli ngozi nyeusi hatupendani...yaani mtu anaona rahaa kwa mwenzie kupoteza rasilimali zake bila hatia yoyote.
Ambapo hata yule anayesema za kubambika ndio kiongozi wake.....anamlenga nani.......jiwe gizani........tunasubiria pia wanajeshi watapewa changamoto ipi kuhusu operesheni 'MKIRU' hapo ndipo penye kipimo cha 'impartiality justice'Wabambikizaji ni ccm.