Ripoti hii ya CAG asilimia kubwa ni ya enzi ya utawala wa Jiwe, ulijaa upigaji
Ngoja mafuta yapige 4000 per Lita ndiyo tutaelewana.Angekuwa JPM yupo kwake issue ngumu za global jamaa alikuwa mtaalamu angewashangaza.Corona ilishughulikiwa kiaina yake
 
Vyeti fake tupo wengi humu JF tumeumizwa sana awam ya 5 ngoja tuteme Nyongo😂😂😂😂😂😂
 
.....
Itisheni mikutano ya hadhara muwaeleze wazi wazi wananchi vitu hivi. Mbona mnajifungia kwenye kumbi na magazeti? Mje mbele ya raia muwaeleze haya tote mnayoandika magazeti, na kuyasema kwenye viako vyenu vya ndani, na kumbi mbali mbali wawaelewe vizuri wananchi. Rahisi tu!
Watashambuliwa kwa mawe
 
Kama umefatilia siasa zetu majuzi utashangaa ila kama upo muda mrefu utajua hili huwa halina muda mrefu! Kufikia 2024 tutaona siasa halisi! Tutaona rangi halisi! Tutajua yote hata yanayoendelea sasa.

Ndio maana wakongwe wengi wa siasa humu JF wapo kimya au wanatumia fake IDs maana wanajua muda wa uhalisia bado na sasa ni nyakati za mihemuko!
 
Bora ufisadi was awamu tano hata vitu tangible vilionekana kuliko serikali tukufu ya awamu ya sita tunashuhudia wakipaaa na ndege na starehe kibao Mara Lindi kwa helicopter Mara Washington kwa air bus ,genge la walamba asali liko kazini hayo tuyategemee Sana,tutavimba majipu Hadi kwenye ulimi ,majipu yamefunguliwa Sasa yanajambia ushuzi ukutani halafu harufu ikirudi yanasin gizia mpiga deki wa nyumba kaharishia chupi yake
 
Hili hawezi kuliepuka kamwe..ni yeye ndie atakuwa anaendeleza hiyo Hasara kwa kununua ndege kwa pesa taslim bila kuangalia tija ya biashara hiyo!
Sasa si wasitishe kama bado wanajiendesha kwa hasara
 
Huyo jamaa yenu alikuwa ni one man show hivyo haepuki lawama, mama hayuko huko. Kila mtù atawajibika pale alipo!
 
Kumbe kweli mliajiriwa mkiwa hamna sifa, kumbe kuna mianya yenu ya upigaji kweli 🤔🤔 endelea kufunguka
 
Ngoja mafuta yapige 4000 per Lita ndiyo tutaelewana.Angekuwa JPM yupo kwake issue ngumu za global jamaa alikuwa mtaalamu angewashangaza.Corona ilishughulikiwa kiaina yake
4000 tu; yatafika hata 5000. USD yenyewe si unaona inavyokimbia?
 
Hili hawezi kuliepuka kamwe..ni yeye ndie atakuwa anaendeleza hiyo Hasara kwa kununua ndege kwa pesa taslim bila kuangalia tija ya biashara hiyo!
Si waziuze kwa pesa taslimu kuliko kutuongelea pumba hapa.
 
Sawa hela zilipigwa sana lakini je Mbona kulikuwa na njaa sana kuliko awamu zote
Hela wameficha wapi?
Na wengi walikuwa washamba hata kisiwa cha Jersey hawakijui kama makengeza
 
Ufisadi awamu ya tano? 80% ya watendaji wa awamu ya sita ni walewale wa awamu ya tano.

Nashauri tuuite Ufisadi wa awamu ya tano na sita
 
Back
Top Bottom