macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Aliyefariki ni Magufuli tu. Wengine wote wako hai na ndiyo wanaendeleza kilichofanyika, hivyo huwezi kutenganishwa ufisadi wa mwaka juzi na utawala uliopo.Tuko hapa, mwakani tutaonana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyefariki ni Magufuli tu. Wengine wote wako hai na ndiyo wanaendeleza kilichofanyika, hivyo huwezi kutenganishwa ufisadi wa mwaka juzi na utawala uliopo.Tuko hapa, mwakani tutaonana
Ile ilikuwa one man show jamaa yangu. Sio vp, pm wala mof, hakuna aliyeachiwa nafasi ya kupumua.Na hiyo awamu ya tano makamu wa rais alikuwa nani ,waziri mkuu alikuwa nani ,waziri wa fedha alikuwa nani?
Zito ana tatizo kubwa sana
Huwezi kutofautiana Awamu ya 5 na ya 6 Viongozi ni wale wale isipokuwa MagufuliWatu wanasema kuwa dunia ya leo ogopa sana technology na watawala...
Kwani CAG hajaweka wazi?.....
Itisheni mikutano ya hadhara muwaeleze wazi wazi wananchi vitu hivi. Mbona mnajifungia kwenye kumbi na magazeti?
Aliyekuwa rais wa awamu ya 5 ni nani?Huwezi kutofautiana Awamu ya 5 na ya 6 Viongozi ni wale wale isipokuwa Magufuli
Shuwaini wewe hapo!Hapa Usukuma gang umeingia vipi? Shwain mkubwa.
Mbona umekomalia mikutano ya hadhara? Si mliipiga marufuku.Tuanze sasa kunadi ripoti ya CAG wa awamu hii mbele ya wananchi kwa njia ya mikutano ya hadhara..
Hiyo ilikuwa serikali ya mtu mmoja, hata yeye aliita "serikali ya magufuli" hiki kikombe akinywe mwenyeweAliyefariki ni Magufuli tu. Wengine wote wako hai na ndiyo wanaendeleza kilichofanyika, hivyo huwezi kutenganishwa ufisadi wa mwaka juzi na utawala uliopo.
Upo sahihi sana mkuuMalipo ya Serikali yalikuwa kati ya Doto James na Meko.
Hao wengine walikuwa ruber stamps tu.
Wafungwe akina polepole na Bashiru.Watu wanasema kuwa dunia ya leo ogopa sana technology na watawala.
Leo hii tumeanza kugundua na kujuzwa na vyombo vya habari kuwa awamu ya 5 iliongoza kwa ufisadi...
Kama taifa tutafurahi sana hawa watu wakipatiwa hukumu ngumu sana.Wafungwe akina polepole na Bashiru.
FactKwa sasa kila awaye na ghadhabu na JPM lolote lile baya akikutana nalo humsingizia Hayati Magufuli.
Tupo wengi wenye chuki/husda/hasira na JPM na hii ni kwa sababu ALITUVUNJIA NYUMBA ZETU,ALITUFUKUZA WAFANYAKAZI TULIOKUWA HATUNA SIFA na ALITUZIBIA MIANYA FULANI; Pengine...
Tusubiri report ya CAG ijayo natamani kuona utaandika nini.Sasa hivi watu hawapigwi marisasi, hawatekani kwenye Noah, magazeti yanafunguliwa, wafanyabiashara hawafichi fedha majumbani kuogopa sabaya na genge lake wasi freeze account, TRA hawabambiki Kodi, bunge live limerudi.
Sasa nani ahangaike kumsingizia?