MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Kama mambo mazuri alipewa yeye Magu peke yake, kwanini mambo mabaya mnataka kila mtu apewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CAG anapambana na marehemu au anatoa report ya wizi mliofanya mkishirikiana na marehemu Pombe??Endeleeni kupambana!
Hadi 2025 inafika mtakuwa mnapambana na marehemu
Utajaza wewe chawa wa jiwe lkn ukweli ndiyo huo umemwagwa na wataaalamUshuzi mtupu......
Bado mna safari ndefu sanaCAG anapambana na marehemu au anatoa report ya wizi mliofanya mkishirikiana na marehemu Pombe??
sisi tunajua ni kuwa CCM ndiyo imekuwa madarakani kwa miaka zaidi ya sitini. Adui wa Watanzania ni CCM.Ile ilikuwa "serikali ya magufuli" alikuwa anagawa Hela mwenyewe akiwa barabarani, hii ya Sasa ni serikali ya CCM, jifunze kutofautisha, shuleni ulienda kusomea ujinga?
Mzee wa watu gani?Mnajitahid sana kumchafua mzeee wa watu [emoji119]
CAG kutoa report ya ufisadi wa Magufuli ndiyo amerefusha safari yake?Bado mna safari ndefu sana
Hao mnao hadi 2035! JipangeniNa hiyo awamu ya tano makamu wa rais alikuwa nani ,waziri mkuu alikuwa nani ,waziri wa fedha alikuwa nani?
Zito ana tatizo kubwa sana
LEO NDIYO NIMETHIBITISHA WEWE SIO CHADEMA ILA NI SUKUMA GANGMsidhanie watu wote ni wajinga kama nyie msivyo na akili. Kuna mabadiliko ya serikali tangu JPM afe? Hii ni serikali ilele na na wala hakuna uchaguzi mpya uliofanyika. Acheni ubumunda ufisadi huu unawahusu hata watawala wa sasa.View attachment 2187985
Huyu mjane wa jiwe anahaha baada ya legacy kuachwa uchi na CAGUnawahusu watawala wa sasa pia. Na kikubwa zaidi unamhusu Magufuli pia.
Kaujamba JiweUshuzi mtupu......
Umeona eenhh??.Mnajitahid sana kumchafua mzeee wa watu [emoji119]
Kuwa Keyboard warrior sio kosa pia.Ni muda muafaka habari hizi ziwafikie wananchi kwa njia ya mikutano ya hadhara lengo tujiepushe kuitwa keyboard warrior na kuonyesha kuwa tumefunguliwa.
What do you mean? Unakua unachokisema?Huyu kicheche sijui kucheere naye ni famba tu. Hivi jiwe angekuwa hai leo angedhubutu kuweka wazi hayo madudu?
Kwahiyo unamlaumu CAG kwa kuanika maovu yaliyofanywa na Jiwe?Huyu kicheche sijui kucheere naye ni famba tu. Hivi jiwe angekuwa hai leo angedhubutu kuweka wazi hayo madudu?
Report ya CAG inakua rubbish kwasababu amefichua ufisadi wa Magufuli?Hiyo ripoti ni rubish
Huyo ni chawa wa sukuma gang hivyo yupo tayari kujitoa akili ili mradi tu atetee maovu ya jiwe.What do you mean? Unakua unachokisema?
Aliyekabidhiwa gari ndiye wa kusulubiwaHivi daladala likishindwa kupeleka hesabu kwa bosi ,
Je wakulaumiwa ni konda,dereva?
Au wote kwa pomoja lawama zinawahusu?
Swali fikirishi.