Uchaguzi 2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

Nani amekwambia hawachunguzi kwani jarada limefungwa? Mrudisheni dereva aje ayatambue magari yale yaliyokamatwa. Uchunguzi unaanza na maelezo ya watu wazima muhimu waliokuwepo eneo la tukio. Hata ao wachunguzi wa nje wataanza na hao.
Waanze na walitoa kamara za CCTV pale area d Dodoma wakat polisi walisha SEMA zipo
 

..TL aliumia mwili mzima.

..hoja kwamba kwanini ameumia mguu wa kulia na siyo kushoto ambako risasi zilitokea haina uzito.

..kama umefuatilia TL utaona kwamba hata mkono wake wa kushoto una vyuma, na haukunjuki, hivyo umeumia kuliko mkono wa kulia.

..risasi inayopiga mfupa na kuuvunja, inaweza kuwa na madhara kuliko risasi iliyopiga msuli/nyama na kutokea upande wa pili. hicho ndicho kilichosababisha TL akaumia mkono wa kushoto kuliko wa kulia, na akaumia mguu wa kulia kuliko kushoto.

..mimi naamini Polisi wanapaswa kumhoji aliyeondoa walinzi wa area D siku ya tukio. Aliyechukua uamuzi huo atawaeleza ni nani alimtuma kufanya hivyo na itasaidia kuwabaini waliopanga na kutekeleza shambulizi lile.
 
Hizo sio risasi ni magoroli ya ndege, wewe unajua risasi kweli?
Nikuulize ww ikiwa unazijua risasi?
Nimeanza kuzichezea mwaka 2005 nikiwa volunteer kikosi kimoja huko iringa, nikaenda malezi kikosi kingine huko mtwara, 2007 kozi huko Pwani, 2013 nikaachana na kazi za utumwa baada ya kutoka OP nchi jirani, sasa sijui utanieleza nn kwenye guns, ammunition, explosives,
 
Lissu itakuwa alipigwa risasi na Wadeni wake au alikua anachukua wake za watu, ndiyo hayo matatizo kajisababishia!!
Mkuu una kipaji kikubwa sana cha kutambua mambo, namshangaa Siro hajakupa kitengo pale makao makuu!! Kumbe wasio julikana, ni rahisi kuwapata?!!
 
Na weledi wao wote CIA na Ndugu zao walimfanyia Fidel Castrol majaribio mangapi ya kumuua na yote walishindwa. Sasa itakuwaje mama atoe boko kiasi hiki? Atuambie ulinzi na CCTV nani alitoa?
 
Lakini mama kasema kweli risasi 16 kwa ashari mwenye mafunzo ni ngumu aisee...
Kwa nchi zingine zenye amani kama yetu Jeshi la Polisi linakuwa na kikosi maalum za Silaha za Moto "Police Armed Response" Hawa ndio wanakuwa specialized na mabunduki, kulenga Shabaha n.k Police wengine wanakuwa wanatoa huduma za kijamii tu kama ulizi patrol n.k

Sent from my POT-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu kwa ufupi tu, jinsi serekali ilivyo handle swala la shambulizi dhidi ya Lissu, ilijiwekea mazingira ya kutuhumiwa. Binafsi naungana na Lissu kuituhumu kuwa inahusika na shambulizi lile.
 
Kumbe na hili limeanza kuwa takataka! Lilikuwa jimama lenye maadili sasa, limekengeuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…