ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Huyu Mama kawaje tena mbona hua namuona wa maana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waanze na walitoa kamara za CCTV pale area d Dodoma wakat polisi walisha SEMA zipoNani amekwambia hawachunguzi kwani jarada limefungwa? Mrudisheni dereva aje ayatambue magari yale yaliyokamatwa. Uchunguzi unaanza na maelezo ya watu wazima muhimu waliokuwepo eneo la tukio. Hata ao wachunguzi wa nje wataanza na hao.
Hawawezi maana waliotenda ni wao wenyeweWaanze na walitoa kamara za CCTV pale area d Dodoma wakat polisi walisha SEMA zipo
Bila dreva uchunguzi haufanyiki? what if angakufaNani amekwambia hawachunguzi kwani jarada limefungwa? Mrudisheni dereva aje ayatambue magari yale yaliyokamatwa. Uchunguzi unaanza na maelezo ya watu wazima muhimu waliokuwepo eneo la tukio. Hata ao wachunguzi wa nje wataanza na hao.
Lissu amlete dereva Watanzania tupate ukweli. Kitendo cha kumficha dereva Ubeligiji kinafikirisha sana.
Pia maajabu mengine ya dunia. Lissu amekaa upande wa abiria ambao ni kushoto, risasi zinapiga mlango wa gari tena karibu na kitasa cha kufungulia mlango halafu zinajeruhi mguu wa kulia badala ya mguu wa kushoto!!
Mbaya zaidi na cha kushangaza mguu ulio upande risasi zinakotoka haukuguswa hata na risasi moja.
Halafu anasema alilaza kiti! Sasa wakati risasi zinamiminika alipata wapi nafasi hiyo. Pia ina maanaalipolaza kiti aliinua mguu wa kulia ukawa unapigwa huo tuuu!!
Pia alama za risasi kwenye gari zipo juu na sio usawa wa kiti kilicholazwa na mtu akalala!! Mama yupo sahihi kabisa!!
Queen Esther
Na akikufa huko jehanam akachumbiwe na shetan awe anagongwa miti kila baada ya robo saa! Ukoo wa ibilisi wote ni maibilisi kumbeYaani tumbo limeuma...jamani kumbe huyu mama mchawi hivyo? Nilikua namheshimu Sana Ila nataman Mungu amchukue tu
Nikuulize ww ikiwa unazijua risasi?Hizo sio risasi ni magoroli ya ndege, wewe unajua risasi kweli?
Huyu mama kumbe mjinga hiviPlease Mama Samia tulikuona upo neutral una roho ya kimama ya huruma! Maneno hayo yanatoka kweli kinywani mwako????
Waswahili wana msemo wao "ukikaa na uwaridi...."Huyu naye ameshanogewa na cheo. Bilali mzee wa kutembea na mkasi mfukoni hakuwaga na ishu kama hizi.
Mkuu una kipaji kikubwa sana cha kutambua mambo, namshangaa Siro hajakupa kitengo pale makao makuu!! Kumbe wasio julikana, ni rahisi kuwapata?!!Lissu itakuwa alipigwa risasi na Wadeni wake au alikua anachukua wake za watu, ndiyo hayo matatizo kajisababishia!!
Jahili sana, nawashangaa mliokuwa mnamwamini.Huyu mama kumbe mjinga hivi
Kwa nchi zingine zenye amani kama yetu Jeshi la Polisi linakuwa na kikosi maalum za Silaha za Moto "Police Armed Response" Hawa ndio wanakuwa specialized na mabunduki, kulenga Shabaha n.k Police wengine wanakuwa wanatoa huduma za kijamii tu kama ulizi patrol n.kLakini mama kasema kweli risasi 16 kwa ashari mwenye mafunzo ni ngumu aisee...
Ndugu kwa ufupi tu, jinsi serekali ilivyo handle swala la shambulizi dhidi ya Lissu, ilijiwekea mazingira ya kutuhumiwa. Binafsi naungana na Lissu kuituhumu kuwa inahusika na shambulizi lile.Watu wanafata ushabiki tu nahili jambo kipo kitu ndani yake! Hivi unawezaje kurudi kwenye nchi unayowindwa na serikali husika huku ukiomba ulinzi huohuo!.. kipo kitu nyuma ya pazia.
Mama samia kasema ukweli hata msimlaumu.. kwa serikali njia za kumtaka mtu zipo nyingi tu lkn sio kwa namna ile ya lissu.. hayo maswali ya CCTV sijui walinzi n.k yatakuwa na majibu tu tatizo kuwekwa hadharani.
=======
Mama Samia Suluhu Hassani ambaye ni mgombea mwenza wa kiti cha urais kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM) amesema kuwa anawaomba wafanye kampeni kwa amani wakipita wawasikilize wala wasigombane nao.
Amesema kuwa wapo wagombea watakwenda kuwaambia kuwa walivunjwa miguu na mwingine alimsikia akisema kuwa alipigwa risasi 16.
''Watakuja kuwaambieni wameunjwa miguu lakini waulizeni ilikuwaje wakavunjwa miguu, wengine jana nilisikia mmoja anasema amemimiwa risasi 16 nataka niwaambie huyo sio askari wetu wa serikali ya chama cha Mapinduzi, askari wetu akipiga mtu tatu akamkosa atawajibika sikwambii askari aliefundishwa akapiga 16 huyo mtu atoke mzima".
Duh! Mkuu, nayahisi maumivu yako. I hear you.Na akikufa huko jehanam akachumbiwe na shetan awe anagongwa miti kila baada ya robo saa! Ukoo wa ibilisi wote ni maibilisi kumbe