cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Si anajiona ni bi mdogo kweli, kaanza kuliwa tangu akiwa bunge la katiba, ndo ikafikia kuwa mgombea mwenza alaaaah.Huyu tangu asifiwe uzuri na yeye anajiona Bi mdogo wa Magufuli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si anajiona ni bi mdogo kweli, kaanza kuliwa tangu akiwa bunge la katiba, ndo ikafikia kuwa mgombea mwenza alaaaah.Huyu tangu asifiwe uzuri na yeye anajiona Bi mdogo wa Magufuli.
CC: Robert Amsterdam
=======
Mama Samia Suluhu Hassani ambaye ni mgombea mwenza wa kiti cha urais kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM) amesema kuwa anawaomba wafanye kampeni kwa amani wakipita wawasikilize wala wasigombane nao.
Amesema kuwa wapo wagombea watakwenda kuwaambia kuwa walivunjwa miguu na mwingine alimsikia akisema kuwa alipigwa risasi 16.
''Watakuja kuwaambieni wameunjwa miguu lakini waulizeni ilikuwaje wakavunjwa miguu, wengine jana nilisikia mmoja anasema amemimiwa risasi 16 nataka niwaambie huyo sio askari wetu wa serikali ya chama cha Mapinduzi, askari wetu akipiga mtu tatu akamkosa atawajibika sikwambii askari aliefundishwa akapiga 16 huyo mtu atoke mzima".
NI kitu gani alifanya kwenye hilo bunge la Katiba hadi ukajua ni mtu wa hovyo?..mimi nilijua mama samia ni mtu wa hovyo tangu alipokuwa kwenye bunge maalum la katiba.
Afu kuna sehemu niliwahi sikia kuwa huyu mama ni lesbooh, ila hilo ni lake binafsi na kwa uhuru wake. Ila hili la ugaidi mmmmh kakosea sanaUislam unakataza usagaji hizo shungi za bure Tu alizovaa
Nikm alivo huyu wa Elimu..Afu kuna sehemu niliwahi sikia kuwa huyu mama ni lesbooh, ila hilo ni lake binafsi na kwa uhuru wake. Ila hili la ugaidi mmmmh kakosea sana
Kwa hisan ya kigogoAfu kuna sehemu niliwahi sikia kuwa huyu mama ni lesbooh, ila hilo ni lake binafsi na kwa uhuru wake. Ila hili la ugaidi mmmmh kakosea sana
Murderers!!Ukikaa na shetani na wewe utakuwa shetani
Hakuna aliemsafi ndani ya CCM
Tangu amvulie hijabu Makonda huyu mama kwisha habari yakeKwa hisan ya kigogoView attachment 1559435
Unaambiwa Kuna ya uvungun kigogog atayamwaga muda sio mrefuTangu amvulie hijabu Makonda huyu mama kwisha habari yake
=======
Mama Samia Suluhu Hassani ambaye ni mgombea mwenza wa kiti cha urais kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM) amesema kuwa anawaomba wafanye kampeni kwa amani wakipita wawasikilize wala wasigombane nao.
Amesema kuwa wapo wagombea watakwenda kuwaambia kuwa walivunjwa miguu na mwingine alimsikia akisema kuwa alipigwa risasi 16.
''Watakuja kuwaambieni wameunjwa miguu lakini waulizeni ilikuwaje wakavunjwa miguu, wengine jana nilisikia mmoja anasema amemimiwa risasi 16 nataka niwaambie huyo sio askari wetu wa serikali ya chama cha Mapinduzi, askari wetu akipiga mtu tatu akamkosa atawajibika sikwambii askari aliefundishwa akapiga 16 huyo mtu atoke mzima".
Mama kawashoka pabaya mnawewesekaNa hizo tetesi zake zipo ila sema tulimstahi kwasababu alionesha ustaarabu!Sasa ajiandae kuanikwa huyo mwanaizaya asiye na mume!
Mke wa mchawi shurti awe mchawi. Penye mbuzi mwizi usifunge wako, naye ataiba tu. Kunguru hatakaa akacheza na njiwa!Ukikaa na shetani na wewe utakuwa shetani
Hakuna aliemsafi ndani ya CCM
Jifunze kuandika kwanza!Hili jukwaa la watu makini,shwain!Mama kawashoka pabaya mnaweweseka
Mie hapa ndo nimebaki kuduwaaa tuu, nahisi km movie kumbe ndo reality lolHuyu mama kumbe mpumbavu kias hiki?? Au alinyweshwa k vant