Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakua alimaanisha waliotaka kumuuwa siyo askar wa CCm lakn sijui kama chama kinakuaga na askar au kamaanisha Hawa askari wanaolipwa kwa kod zetu
Hakujua kila neno lina tafsiri mbiliMama amenogewa na maisha ya kwenye kiyoyozi.
Mama Samia Yuko sahihi, hata Lissu hajasema kuwa police ndio waliomshambulia na anasema wazi alimwona aliyemshambulia na anamfahamu, anacholaumu kwanini police hawamkamati?
Inawezekana aliyeenda kumshambulia hakupaswa kwenda Ni keherehere chake tu, au aliyepaswa kwenda alipuuza mjinga mwingine akaamua kujichukulia amri mkononi.
Anachosema mama kuwa ile Ni dhambi ya mmoja na sio ya chama au serikali na ingelikuwa ya chama au ya serikali wangetumwa wataalamu wa hiyo kazi
Huyu mama alipokuwa bunge la katiba yani alikuwa mwingi balaa..kuna comment alitoa kuhusu wabunge wa vyama vya upinzani wakati wa bunge maalum.
..nadhani kulitokea mzozo na wabunge hao wakaamua kutoka nje ya ukumbi, sasa kuna kauli aliitoa ndio ilinifanya nijue kwamba iko siku tabia zake zitakuja kujulikana/kujitokeza waziwazi.
..Mama Samia alimtembelea Tundu Lissu akiwa hospitali Nairobi na alimkuta katika hali mbaya sana akiwa bado kitandani.
..Na waTz wengi tulimpongeza kuwa amefanya jambo la kiungwana. Sasa imekuwaje mtu ambaye alimuona TL akiwa kitandani ni mgonjwa, leo aanze kumtolea maneno ya kashfa? Kwa maoni yangu ni afadhali maneno hayo yangesemwa na mtu ambaye hakumuona TL kule hospitali.
..Na kibaya zaidi yamesemwa na mwanamke ambaye tunajua ana uchungu wa kuzaa,na anajua machungu ya kuuguza kwani kwa mila zetu wanawake ndiyo wanaouguza na wafariji ktk familia zetu.
Kipindi cha kampeni za mwaka 2015 akajichagulia kina Ummy, Kairuki, Wolper, Aunt Ezekiel na Wema akawa nao kwenye kampeni eti mama ongea na mwanao yani ilikuwa ni laana tupu! Emb niishie hapo ila lazima nimuite VictoireMie najua huyu mama n lesboooh
Mwambie akamsome kigogo 2014😂😂😂Naona msemo wa majalalani umeingia mahali pake hata huyu mama Samia ameurudia huko Temeke.. Huyu mama amemwambia Lissu amejazwa fikra za Ubelgiji
Keshalipata, kigogo Keshafungua file lake huko twitter 😂😂😂😂Mama anatafuta balaa bure
Saivi ataanikwa hadharani tyuuuh. Hakuna namna lolKipindi cha kampeni za mwaka 2015 akajichagulia kina Ummy, Kairuki, Wolper, Aunt Ezekiel na Wema akawa nao kwenye kampeni eti mama ongea na mwanao yani ilikuwa ni laana tupu! Emb niishie hapo ila lazima nimuite Victoire
Nasikia viben ten vinajipigia tu, CCM hasara tupu.Sio ajabu mbona, ana mengi tyuuuh sema alisitiriwa kutokana na ustaarabu wake, na hii je? View attachment 1559553
Happi murro, bashite, etc wanaasuuza rungu lolNasikia viben ten vinajipigia tu, CCM hasara tupu.