Uchaguzi 2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

Uchaguzi 2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

Mungu huonyesha ukuu wake katika nia mbalimbali. Tuombe tu uzima, ukuee wa Mungu tutauona siku moja.
Tumwambie tu huyu mke wa Coplo wa zimamoto kuwa wauaji waliowatuma kumuua Lissu hawakumkosa, walimpata, walimimina zaidi ya 30, na zote zililenga pale pale anapokaa Lissu kwa upande wa ndani. Hongera huyo askari kaiva kwenye shabaha.
Mliwatuma wakatekeleza maelekezo.
Ila hata siku moja shetani hajawahi kumzidi Mungu!
Nilikuwa nakuona ww mama mstaarab umekaa kimya haufungamani na hao wenzako, kumbe ulikuwa umeficha makucha, Lissu mliyomtwanga marisasi ya kutosha Mungu akasema no, huyu mtu ni mpango wangu, ni lazima aishi! Mna roho mbaya sana ninyi watu, sijui mwanamke gan ww, hukuzaa??
 
Uyu mama ameongea kweli hao waliompga risasi sio Askari wenye mafunzo na sidhani Kama wametumwa na serikali Askari mwenye Nia ya kuua mtu hawezi kukupga risasi 16 akakukosa
 
Namshauri Lissu asimjibu lolote huyu mama kabla hajamuuliza lolote,amuulize hivi yuko tayari amejipanga? Akijibu ndiyo,basi Lissu na aanze kumjibu Mama yetu mpendwa Samia Suluhu.
 
Namshauri Lissu asimjibu lolote huyu mama kabla hajamuuliza lolote,amuulize hivi yuko tayari amejipanga? Akijibu ndiyo,basi Lissu na aanze kumjibu Mama yetu mpendwa Samia Suluhu.
Lissu amsahe tu bure huyu Mama. huyu Mama anafahamika kuwa ni Muungwana sana. sidhani kama hii ni akili yake timamu. Lissu amwache tu, mama ulimi umeteleza au pengine ni mashinikizo tu huwezi jua.
 
Lakini mama kasema kweli risasi 16 kwa ashari mwenye mafunzo ni ngumu aisee...
Tatizo siyo idadi ya risasi wala shabaha, HOJA ni je unalenga eneo lipi la mwili? Unaweza mpiga mtu risasi hata 100 kwenye kidole....
 
Hapo kasema ukweli mtupu Maana yeye ndo miongoni mwa maboss wa Askari wao wa CCM hivyo anawajua vizuri weredi wao. Kwahiyo Mimi naamini alichokisema na ndo uhalisia.

Zitto aliutaka uenyekit wa chadema akafukuzwa Chama.
Ben sanane aliutaka uenyekit wa Chama akapotea mpaka leo.
Tundu lissu aliutaka uenyekiti wa Chama akapigwa na vitu vinavyosadikika ni risasi.
F. SUMAYE aliutaka uenyekiti wa Chama akaambiwa kuwa Sumu haionjwi kwa usalama wa maisha yake akaamua kujiweka pembeni na kuchomoka kwenye himaya za mtia Sumu.

Swali; kwanini Kila anaeutaka uenyekiti wa Chama CDM anapatwa na matatizo Ni ipi Siri iliyopo Hapo nyuma?

Je nikweli Mbowe Ni kibaraka wa serikali kwamba hawezi kutoka kwenye kile kiti kwa masilahi ya Taifa?
Mzee Mangula alipata jambo lake kutoka kwa watu wa kamati ya maadili...
 
Wampe bongo movies atembee nao ili ajaze watu kama mwenzake yeye kapewa wasanii.
 
Lissu amsahe tu bure huyu Mama. huyu Mama anafahamika kuwa ni Muungwana sana. sidhani kama hii ni akili yake timamu. Lissu amwache tu, mama ulimi umeteleza au pengine ni mashinikizo tu huwezi jua.
Ukiwa ccm utakuwa vipi muungwana
 
Mbona ipo wazi waliompiga lissu risasi ni kikundi fulani kilichomo ndani ya chadema na ishu yote ni kufifisha nguvu ya Lissu dhidi ya Mwenyekiti Mbowe...
kwa hiyo ukiwa chadema unakuwa na kinga ya kuua binadamu wenzako, hukamatwi wala hushtakiwi??!!!
 
Zipo hoja ajibu huyo mama.
:Kwann walinzi waliondolewa getini,
:Nani aliyeondoa ccctv
:Kwann awataki wachunguzi toka nje
:Kwann walimnyima matibabu
:Kwann walikataza watu wasimchangie damu hadi akachangiwa na wakenya.
:Kwann walizuia asiombewe
:Kwann walimfukuza ubunge
:Kwann wabunge wa ccm walipigwa biti kwenda kumuona.
:Why alikwenda Nairobi kumuona mtu aliyejipiga risasi.

Wakijibu hoja hizi ni kweli askari sniper huwa akosei.
 
Subiri mkuu wa malaika afunge mitandao toka huko....
 
Uyu mama ameongea kweli hao waliompga risasi sio Askari wenye mafunzo na sidhani Kama wametumwa na serikali Askari mwenye Nia ya kuua mtu hawezi kukupga risasi 16 akakukosa
Sasa ni wakati wake wa kuhakiki ni askari gani walifanya
 
Back
Top Bottom