Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Futa hii Mkuu 😂😁😁 unakosea sana hapoWajerumani wenyewe wanaona Kiswahili na kingereza ndio fursa kwao.
Kijerumani sio lugha ya Dunia labda mpaka uwe na safari ya ujerumani bora hata Kiswahili unaweza kupuyanga nacho kuanzia kusini, mashariki na kati ya Afrika na ukatoboa
A level ina madhara kisaikolojia kwa wanafunzi wa 0 level hivyo kuwakatisha tamaa ya kusoma na kujifunza kwa bidii ...kama kusingekuwa na a level wanafunzi wa o level wangekuwa bora sana na wangesoma kwa bidii haswa maana wangekusudia kwenda chuo siyo A levelBado sioni umuhimu wa A-level
Kumbe na wewe una akili akili [emoji16][emoji16] A LEVEL ni kirusi cha saikolojia kinacho ua motisha ya O- LEVEL mwanafunzi anawaza tena akimaliza o level aendelee na a-level [emoji856][emoji856][emoji856][emoji856]Ni kwenda kukua na kupoteza Muda kule
Tatizo Jf vilaza wengi halafu wajuaji kinoma..Naunga mkono hoja
Haaaaa kwani ujui kuwa wafungaji tanzania ni waisiharamu yaheee ......wenzio tuna angalia upepo tukikuta misosi minono [emoji490][emoji490][emoji491][emoji491][emoji894][emoji894][emoji487][emoji487][emoji489][emoji489][emoji492][emoji492][emoji492][emoji492][emoji492]tuna fungua yahee tutalipia siku nyingine shekhe wangu[emoji16][emoji16][emoji16]Hujafunga?
Very well [emoji122][emoji108] tatizo wapumbavu wa ccm ni ngumu kuelewaA-Level ifutwe. Tukomae na vyuo vya kati na Ufundi.
Haswa ndipo uelekeo wa dunia kwa sasaKichina tena !
Mambo ya dini kwenye elimu za serikali ni upumbavu upumbavu upumbavu upumbavuSijaelewa Na 27 inakuwaje biasharaView attachment 2940110
Hiyo physical education inahusu nini ?Ningependa kuzifahamu zote just Imaginr kuna Tahasusi inaitwa PEGE
View attachment 2940031
Mkuu N'take Radhi bhna 😅😅Kumbe na wewe una akili akili [emoji16][emoji16] A LEVEL ni kirusi cha saikolojia kinacho ua motisha ya O- LEVEL mwanafunzi anawaza tena akimaliza o level aendetena o level [emoji856][emoji856][emoji856][emoji856]
Nahisi ni Elimu ya Viungo na mazoezi (Au mazoezi ya viungo)Hiyo physical education inahusu nini ?
Unaambiwa Physics, Chemistry na Biology ww unaongelea reproduction, mbona humuelewi anachokuambia?Ndio mkuu, Mwanangu wa Mwisho alikuwa akisoma hivyo, na sasa hivi kaingia Form one mwaka huu!
Nilikuwa nikikagua Baadhi ya Notes zake na pia kuna maswala ya Respiration na osmosis Na reproduction wanasoma wakifika STD VI na VII
Nimemuelewa na ndiyo maana nimejibu na Yeye kanielewa na ndo maana tuliweka conclusion Wote wawili..Unaambiwa Physics, Chemistry na Biology ww unaongelea reproduction, mbona humuelewi anachokuambia?
Tanzania as part of East Africa can do wonders kwenye Wataalamu as per our Elimu. Ila atupo Serious Bado! We need Nyerere mwingine na pia Mungu aje atupe Magufuli Mwingine🙏Bado atuna mwenye Uchungu na sisi Wadanganyika😭Serikali kupitia TAMISEMI imetoa fursa kwa Wahitimu wa kidato cha nne mwaka 2023 kuongeza au kufanya marekebisho ya machaguo mapya ya tahasusi (combination) baada ya kuongezwa kwa tahasusi mpya 49 kutoka 16 zilizokuwepo awali na kufanya tahasusi za kidato cha tano kufikia 65.
Akiongea leo Jijini Dar es salaam, Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amesema Serikali kupitia TAMISEMI imekamilisha zoezi la awali la kuingiza kwenye kanzidata taarifa zilizo kwenye fomu za uchaguzi za Wanafunzi kama zilivyojazwa na Wanafunzi wakiwa Shuleni.
“Napenda mtambue kuwa Mabadiliko ya Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 Toleo la Mwaka 2023 na Mitaala ya Elimu kwa Kidato cha Tano yameanza kutekelezwa, ambapo utekelezaji huo umehusisha uanzishaji wa tahasusi mpya 49, kutoka 16 zilizokuwepo awali hadi kufikia tahasusi 65”
“TAMISEMI inatoa fursa kwa Wahitimu kubadili machaguo ili kutoa nafasi kwa Wanafunzi kusoma combination itakayomuandaa kuwa na utaalamu stahiki katika maisha yake ya baadaye hii ni kwakuwa wakati wa ujazaji fomu za machaguo ya awali tahasusi mpya 49 hazikuwepo kwenye orodha na matokeo ya kidato hayakuwa yametoka”
Kfc
Satellite EngineeringUkisoma hizo lugha advance chuo unaenda kusoma kozi Gani?