Hii kazi uliyojipa naona nawe utachanganyikiwa siku sio nyingi, mchele upo wa kutosha halafu uwe wa bei juu hivyo?!Mjinga tuu huyo Waziri wenu,hakuna sababu ya kuagiza mchele Nje ya Nchi maan upo wa kutosha Nchini.
Huu ndio ujinga bwashee, tunauza quality, tunanunua mitumba[emoji1787][emoji1787][emoji1787] halafu tunajisifu tumefungua nchi🫣🫣Bashe kazingua sana
Tutakula michele kitumbo sasa haunaga chuya!
Bashe anajionaga bonge la waziri, huyu mama anamsubiria Kwenye kona tu Shoka Moja Mbuyu chini 😂Huu ndio ujinga bwashee, tunauza quality, tunanunua mitumba[emoji1787][emoji1787][emoji1787] halafu tunajisifu tumefungua nchi🫣🫣
Silijui mkuu niambie Mana yake. Naona ego iko kazini. Mie Ni kilaza sijui kitu Nina Imani wewe unajua mno ivyo nieleweshe msomi uliyegundua kisomo. Salute kwako brain kubwa.emotional trauma.?😂😂 Unaelewa maana yake au ni neno umeliona tu unaanza kuliandika popote ili uonekane unalijua
Wafanyabishara wa mafuta wana profit margin yao ambayo ipo guaranteed na serikali, mafuta yapande au yashuke, ndio maana matuta yalivyopanda bei sana mwaka jana serikali haikuwalazimisha washushe bei ili wananchi wapate nafuu ila ilitoa ruzuku kugharamikia kupanda huko
Ila kwa vyakula ni tofauti, mchele na mahindi kuna kipindi yanashuka sana kiasi kwamba hayamlipi mkulima, serikali haiwapi ruzuku, yakipanda ndio mnataka serikali iingilie ili yashuke?
Leo hii nyie ndio mnaoshangaa kwa nini watu wengi wenye mitaji mikubwa wanawekeza kwenye vituo vya mafuta badala ya kilimo
Na wewe utakuwa una emotional pain trauma , katika ongea yako unatumia rational brain Ila Ni emotional brain ndio inayoongoza. So Kama hapa naona ego, arrogance unayo. So unajijua kuwa ndiye pekee unayestahili kujua ama kumiliki kitu. Human emotions zinajulikana so hunishtui. Anapenda ku boast coz of ego, anayo fear,pride, greed, hakuna jipya. Binadamu Ni yule yule na atabakia kuwa yuleyule Kama ambavyo maji yataendelea kuteremkia bondeni ama chuma kuvutwa na sumaku. Your survival instincts Ni kukutengenezea ama kulinda your self image sema mie nimechagua self actualization. Napenda innerself yangu Basi wala sihitaji nionekane. Mie kwanza kilaza wewe uko juu usikute hata umeshagundua alfabeti zingine ama bado unatumia hizihizi ambazo wajanja wenye akili waligundua.emotional trauma.?😂😂 Unaelewa maana yake au ni neno umeliona tu unaanza kuliandika popote ili uonekane unalijua
Wafanyabishara wa mafuta wana profit margin yao ambayo ipo guaranteed na serikali, mafuta yapande au yashuke, ndio maana matuta yalivyopanda bei sana mwaka jana serikali haikuwalazimisha washushe bei ili wananchi wapate nafuu ila ilitoa ruzuku kugharamikia kupanda huko
Ila kwa vyakula ni tofauti, mchele na mahindi kuna kipindi yanashuka sana kiasi kwamba hayamlipi mkulima, serikali haiwapi ruzuku, yakipanda ndio mnataka serikali iingilie ili yashuke?
Leo hii nyie ndio mnaoshangaa kwa nini watu wengi wenye mitaji mikubwa wanawekeza kwenye vituo vya mafuta badala ya kilimo
Hivi ule mchele wa basmati huwa unazalishwa hapa? Mbona unakuwepo miaka yote?
Mbeya super umesombelewa kenya, sisi tumebaki na ule wa chenga ambao ungetumika kwa vitumbua na bado unauzwa zaidi ya buku tatu......bwashee bado anaendelea na ngonjera yake ya kumnufaisha mkulima.Huu ndio ujinga bwashee, tunauza quality, tunanunua mitumba[emoji1787][emoji1787][emoji1787] halafu tunajisifu tumefungua nchi🫣🫣
Kama Baraza la Ufalme wa Msoga limekaa kama kamati na kupitisha uagizaji wa Mchele ili wapige pesa,sisi ni nani Wasakatonge na Watumwa wao tupinge!Waziri wa viwanda na biashara Ashantu Kijaji amesema serikali inatoa vibali kwa wafanyabishara wa hapa Tanzania ili waagize mchele tani elfu tisini ili kukabiliana na tatizo la mfumuko wa bei nchni.
Kwanza wifungua nchi wafanyabishara wakauza nje sasa wanawapa tena wakelete kile walichouza nje .
Tukiendelea kufanya majaribio ya maisha ya watanzania ipo siku tutajuta
USSR
Mjinga tuu huyo Waziri wenu,hakuna sababu ya kuagiza mchele Nje ya Nchi maan upo wa kutosha Nchini.
Ila Bibi anaendesha nchi kama lile Land cruiser lake la Royal Tour!!Waziri wa viwanda na biashara Ashantu Kijaji amesema serikali inatoa vibali kwa wafanyabishara wa hapa Tanzania ili waagize mchele tani elfu tisini ili kukabiliana na tatizo la mfumuko wa bei nchni.
Kwanza wifungua nchi wafanyabishara wakauza nje sasa wanawapa tena wakelete kile walichouza nje .
Tukiendelea kufanya majaribio ya maisha ya watanzania ipo siku tutajuta
USSR
Bashe ile kampuni ya magazeti ilimfia mikononi mwake!Mbeya super umesombelewa kenya, sisi tumebaki na ule wa chenga ambao ungetumika kwa vitumbua na bado unauzwa zaidi ya buku tatu......bwashee bado anaendelea na ngonjera yake ya kumnufaisha mkulima.
Ni awamu ya wachawi wa pwani. Msomali kapata uwazirisamahani hii ni awamu ya ngapi?
Bashe ameshindwa wizara.Nchi iko Autopilot hii.....
Unasema wauze tu nje, unarudi kusema tunaagiza nje kupunguza bei ya ndani! Kinana na Bashe walipigania hasa mazao yauzwe nje, ina maana....
Patheticians on a wheel.
Bado hio ni aibu kuagiza chakula kutoka nje.Hakuna aibu yoyote ile.
Serikali haiuzi bali imetoa vibali kwa Korie, Metl walete mchele
Wanaagiza kwa ndege au meli?,, Kama ni kwa meli, huo mchele kama alivyoongea Bashe,, utakuja kuua bei ya mchele wa wakulima, mwezi mayKwani lile agizo la kuuza nje lilishasitishwa? sikumbuki hilo kufanyika.
Tunaongozwa na serikali kama ya wendawazimu, hawajielewi, mawaziri wa viwanda na kilimo wanakanyagana, huku inaruhusu kuuza nje, wakiambiwa kufanya hivyo scarcity inazidi kuongeza mfumuko wa bei nchini, wanajibu kwa dharau ni zamu ya wakulima kufaidi.
Sasa huku wakulima wakiendelea "kufaidi" nashangaa tena wanaagiza mchele toka nje, hii maana yake nini? wamejua scarcity ipo, kama tulichonacho tunapeleka nje, halafu tunaruhusu cha nje kiingie ndani kwa bei ya juu ile ile, hapa wamesaidia nini kupunguza tatizo la mfumuko wa bei? na quality je?!
Dunia ni kununua na kuuza. Unauza kwa wingi alafu unanunua kwa uchache. Unapata ela alafu unatoa ela. Huoni Urusi ana ndege Antonov lakini ananunua pia ndege za Boing au Airbus. Ulimwengu wa biashara ni Uza Nunua au Lima Uza.Acheni sera zenu za woga za lima, Vuna, Weka Akiba. Kisipokuwepo kuna sehemu kipo tutanunua, na Kikiwepo kuna sehemu hakipo tutapeleka.Waziri wa viwanda na biashara Ashantu Kijaji amesema serikali inatoa vibali kwa wafanyabishara wa hapa Tanzania ili waagize mchele tani elfu tisini ili kukabiliana na tatizo la mfumuko wa bei nchni.
Kwanza wifungua nchi wafanyabishara wakauza nje sasa wanawapa tena wakelete kile walichouza nje .
Tukiendelea kufanya majaribio ya maisha ya watanzania ipo siku tutajuta
USSR