Hapa serekali ilaumiwe kwani vitabu vyao vya kubalansi chakula vinasemaje!!??
Leo hii Tz ni ya kununua mchele nje kweli!!??
 
Kwa hiyo huku bara tupo kama popo, upande mmoja tunauza nje, upande mwingine tunaagiza toka nje, halafu tunasema tuna serikali!

Tunajiendea zetu tu, kama kundi la wana kondoo.

Free Market Economy.
 
Labda wafanyabiashara washikiwe viboko ndiyo watapunguza bei au watatoboa mawe ya mizani ionekane wamepunguza bei.
 
wewe nimpuuzi mmoja unaewaza ndani ya box

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
VIBALI vya kuingiza au kusafirisha ,mazao ya chakula ndani na nje vinatolewa na Wizara ya Kilimo, iweje leo tangazo la kuagiza mchele tani elf 90 litolewe na Waziri wa Uwekezaji na Viwanda, Dk. Ashatu Kijaji?

Kwanini Waziri mwenye dhamana ameshindwa kuita Press na kutangaza uamuzi huo?

Wajuzi wa mambo hebu tulijadilini hili lina maana gani?
 
tatizo badala ya kuleta mchele wataleta makapi(kitumbo)
 
Bado hio ni aibu kuagiza chakula kutoka nje.

Pia yanyesha kiwango kikubwa cha tamaa ya kupata faida kubwa.

Tatu, kunaonyesha jinsi waagizaji walivyo na nguvu kubwa ya ushawishi.

Na nne kutowajali wakulima ambao ndo wazalishaji kule mashambani.
Tatizo ni Bashe kuruhusu watu wauze.

Watu walifurahia,
Walaji wakalia

Leo wanataka agiza wale wale wanaolia kila siku kuwa mchele bei ghali, hao hao leo wanalalamika kuwa serikali imekosea.
 
Haikupaswa kuagiza mchele nje,, italeta kelele kwa wazlishaji
 
Wanaagiza kwa ndege au meli?,, Kama ni kwa meli, huo mchele kama alivyoongea Bashe,, utakuja kuua bei ya mchele wa wakulima, mwezi may
Huu mchele tayari uko njiani ni wiki ijayo tu unakuja na bei yake kilo itakuwa 1700-2400
 
Nipo Holili hapa nashangaa ati mchele unatoka Kenya unaingia Tanzani na ni mwezi uliopita tu mchele ulikua unatoka huku unaenda kule, hivi Kenya wanakilimo gani cha mpunga?
Wanaleta walionunua nje, Vietnam, India, China, Brazil
 
mkiambiwa mkasome ehhh mbona ambao hawajasoma wana hela zaidi. Haya sasa elimu ndogo tu ya uraia km hiyo unashindwa kuelewa. Bashe ni waziri wa nini. Uliambiwa tunaenda kulima mashamba nje ya nchi.
 
Ni mtizamo hasi tu mbona Zanzibar karibu 90% ya mchele wanaotumia miaka yote unatoka nje?!!ndio maana kule unakuta mchele siku zote unachezea 1200-.1500/kilo .labda mwaka huu tu.Kule mchele wa bara ni anasa!!wao kitu mapembe.
Naona kwa sasa kg 50 ni 92,000 ambayo ni kama 1800
 
Hilo ni jambo jema.
Sasa wajipange kwenye suala la kusimamia mara hizo tani za mchele zitakapo wasili.

Nashauri;
Vyombo vyote visimamie ili wafanyabiashara na wenye tamaa wasije kuhujumu lengo lililo kusudiwa.
Mzigo utakuwa mwingi sana na watataka wauuze kwa wingi
 
Yaani pamoja ukubwa wa ardhi yenye rutuba tuliyonayo, mito ya maji tiririka usiku na mchana mapori ya akiba kibao hivi 2023 hii inafikia hatua tunaangiza msosi nje? kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…