Brig General Carlitos Way
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 1,601
- 3,658
Mie mwenyewe nilikua namuona bonge la waziri, kumbe kiazi tu wa kisomali huyu hafai kabisa. Nimegundua ni mmoja wa mawaziri mizigo .Bashe anajionaga bonge la waziri, huyu mama anamsubiria Kwenye kona tu Shoka Moja Mbuyu chini π
Kwa hiyo huku bara tupo kama popo, upande mmoja tunauza nje, upande mwingine tunaagiza toka nje, halafu tunasema tuna serikali!
Tunajiendea zetu tu, kama kundi la wana kondoo.
Labda wafanyabiashara washikiwe viboko ndiyo watapunguza bei au watatoboa mawe ya mizani ionekane wamepunguza bei.Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt.Ashatu Kijaji akiwa Dar es salaam leo amesema Serikali imetoa vibali vya kuingiza mchele nchini Tani Elfu 90 kwa ruhusa ya Rais Dkt.Samia βTunatarajia kuanzia mwisho wa mwezi huu wa pili zao la mchele litapungua beiβ
Lengo la Serikali mchele ushuke bei.
======
Serikali yatangaza matazamio kushuka bei ya mchele
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji amesema Serikali imetoa vibali vya kuingiza mchele nchini Tani Elfu 90 kwa ruhusa ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa zao hilo kwa Taifa na pia Serikali imeondoa baadhi ya kodi ili zao hilo liweze kuongezeka kwenye soko.
Waziri Kijaji ametoa kauli hiyo Dar es salaam leo ambapo amenukuliwa akisema βTunatarajia kuanzia mwisho mwezi huu wa pili, wiki ya kwanza ya mwezi wa tatu zao la mchele litapungua bei na Watanzania waweze kufikia zao hilo na kununua katika bei inayohimilika".
wewe nimpuuzi mmoja unaewaza ndani ya boxHii nchi Bado sana,sasa tulikuwa na nafaka nyingi,bei ilikuwa poa,mkazuia wakulima wasiuze nje,baadae mksruhusu,nafaka ikauzwa nyingi nje,sasa mahitaji yakawa makubwa,bei ikapanda,sasa hv nafska imekuwa haba,mmeruhusu tuagize nje!!
Swali langu kwenu nyie kenge maji,kwani haiwezekani tulime wenyewe,mkulima apate faida,na mnunuzi apate unafuu wa kununua?
Mchele uwe buku moja,mkulima apate faida hata ya 300 kwa kila kilo,kwanini mnatuhusu nafska iuzwe nje mpaka bei inapanda juu ndani ya nchi
tatizo badala ya kuleta mchele wataleta makapi(kitumbo)Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt.Ashatu Kijaji akiwa Dar es salaam leo amesema Serikali imetoa vibali vya kuingiza mchele nchini Tani Elfu 90 kwa ruhusa ya Rais Dkt.Samia βTunatarajia kuanzia mwisho wa mwezi huu wa pili zao la mchele litapungua beiβ
Lengo la Serikali mchele ushuke bei.
======
Serikali yatangaza matazamio kushuka bei ya mchele
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji amesema Serikali imetoa vibali vya kuingiza mchele nchini Tani Elfu 90 kwa ruhusa ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa zao hilo kwa Taifa na pia Serikali imeondoa baadhi ya kodi ili zao hilo liweze kuongezeka kwenye soko.
Waziri Kijaji ametoa kauli hiyo Dar es salaam leo ambapo amenukuliwa akisema βTunatarajia kuanzia mwisho mwezi huu wa pili, wiki ya kwanza ya mwezi wa tatu zao la mchele litapungua bei na Watanzania waweze kufikia zao hilo na kununua katika bei inayohimilika".
Tatizo ni Bashe kuruhusu watu wauze.Bado hio ni aibu kuagiza chakula kutoka nje.
Pia yanyesha kiwango kikubwa cha tamaa ya kupata faida kubwa.
Tatu, kunaonyesha jinsi waagizaji walivyo na nguvu kubwa ya ushawishi.
Na nne kutowajali wakulima ambao ndo wazalishaji kule mashambani.
kwahio wananchi wafe njaa kisa aibu?Ni aibu kwa serikali kuagiza CHAKULA kutoka nje kusikojulikana ili iwauzie WANANCHI wake.
mkiambiwa mkasome ehhh mbona ambao hawajasoma wana hela zaidi. Haya sasa elimu ndogo tu ya uraia km hiyo unashindwa kuelewa. Bashe ni waziri wa nini. Uliambiwa tunaenda kulima mashamba nje ya nchi.VIBALI vya kuingiza au kusafirisha ,mazao ya chakula ndani na nje vinatolewa na Wizara ya Kilimo, iweje leo tangazo la kuagiza mchele tani elf 90 litolewe na Waziri wa Uwekezaji na Viwanda, Dk. Ashatu Kijaji?
Kwanini Waziri mwenye dhamana ameshindwa kuita Press na kutangaza uamuzi huo?
Wajuzi wa mambo hebu tulijadilini hili lina maana gani?
Naona kwa sasa kg 50 ni 92,000 ambayo ni kama 1800Ni mtizamo hasi tu mbona Zanzibar karibu 90% ya mchele wanaotumia miaka yote unatoka nje?!!ndio maana kule unakuta mchele siku zote unachezea 1200-.1500/kilo .labda mwaka huu tu.Kule mchele wa bara ni anasa!!wao kitu mapembe.
Mzigo utakuwa mwingi sana na watataka wauuze kwa wingiHilo ni jambo jema.
Sasa wajipange kwenye suala la kusimamia mara hizo tani za mchele zitakapo wasili.
Nashauri;
Vyombo vyote visimamie ili wafanyabiashara na wenye tamaa wasije kuhujumu lengo lililo kusudiwa.