nao
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 1,832
- 1,940
Harafu watu wasiojua mambo wanashangilia eti mkulima ananufaika mkulima hanufaiki na chochote ingieni huko mjifunze ni ma dalali wanapiga hela balaa.Bwasheee anasema anaruhusu chakula kisombwe holela kwenda nje ili wakulima wanufaike wakati kiuhalisia wanaonufaika ni madalali na walanguzi...