Serikali yatoa ufafanuzi wa akiba ya Fedha za Kigeni, makosa yalifanyika

Wanaonaje ktk hiyo akiba ya kutosheleza kwa miez7 wapunguze akiba ya mwez mmoja iwe kama repairing ya uchumi wa nchi kwa kutoa mikobo kwa wafanya biashara wadogo, kupunguza bei ya pembejeo za kilimo, kufanya upanuzi wa majiji ya nchi, ikiwepo kukarabati njia za mijini na vijijini, pia kutatua kero ya maji na umeme?[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15].

Najua hakuna majibu ya haya maswal, zaid zaid kuna upigaji na utapeli wa kiwango chakutisha..

Hii nchi ina viongozi wa hovyo sana
 
Hii kazi yakuwa msaidizi wa president labda inaweza kukufaa ......shida unaforce ubunge wa Kawe ila sir God anakutaa kama vile alimkatalia jiwe kumkill TAL.
 
..kwa hiyo Rais alikosea?

..Na taarifa ya Ikulu haitolewi namna hiyo.

..Jina la anayetoa taarifa na nafasi yake huko Ikulu ni moja ya vipengele vinavyotakiwa kuwepo ktk taarifa.

cc Pascal Mayalla
Rais hakosei ..hii sio mara moja, Mwanza aliwahi hutubia na kusema dollar zaidi ya billion 4 . Na sasa zimepanda ni zaidi ya dollar billion 6.

Kuweka sawa maana yake wanaiba dollar zetu zipungue HAZINA.

Wasema taarifa ni sahii sisi ni matajiri.

mambo ni vururu vururu hiyo taarifa ya Ikulu au tweetar ya Mwigulu hii .,?!
Nchi imeparaganyika sana hii.

Katiba mpya ni lazima kwa sasa.
 
Mkuu igogondwa , sio tuu rais anapitia, bali kuna watu maalum, paid by taxpayers money for doing that. Hizo ni figures and data hivyo uki feed wrong data , rais Samia sio mtu wa data na calculus kama JPM, what you feed in is what comes out.
P
Rasmi mkuu ume declare war against Madame president you mean SSH operates on GIGO basis??? Polepole ,Ndugai na wewe mekuwa enemies of state ..wawatwange risasi like what you did kwa TAL
 
haya topic imeisha, tuanze topic nyingine sasa...cc Behaviourist .... tuendelea kuenjoy demokrasia..
Topic haijaishi. Ni muhimu kufahamu huko Ikulu, kwa nini wamewekwa wajinga wasioweza hata kuandaa hotuba ya Rais kwa usahihi. Hilo siyo kosa linalotegemewa kufanywa na mtu yeyote hata mwenye uelewa wa kawaida.

Huyo muandaaji wa hotupa, akili yake, ni dhahiri ipo below average. Kumweka mtu mwenye akili ndogo sana kuwa ndiye mtu wa kuandaa hotuba za Rais, kwa vyovyote ni tatizo kubwa.
 
Mama yao vidudu chawa, viroboto na nyuki. Ni muongo sana tena sana.
Hakuna cha kuandikiwa MaCCM yanaishi kwa uongo uongo sana.


Fungu la kukosa hili huwezi kuzaa wadudu hivi. Kulikoni Samia unatujazia vidudu badala ya maendeleo?!
Katiba mpya ni lazima.
 
..kwa hiyo Rais alikosea?

..Na taarifa ya Ikulu haitolewi namna hiyo.

..Jina la anayetoa taarifa na nafasi yake huko Ikulu ni moja ya vipengele vinavyotakiwa kuwepo ktk taarifa.

cc Pascal Mayalla
Nyongeza tu...hii haikupaswa kuwa ufafanuzi bali ni masahihisho. Hapo bado hawajakubali kama wamekosea. Inafafanuwa pale ambapo jambo ulilolisema halijaeleweka na unasahihisha pale uliposema jambo ukakosea.
 
Hatimaye, maana msemaji wa kujitolea wa serikali Ndg. Zitto alikuwa haoni umuhimu wa ufafanuzi, asanteni IKULU.
Kumbe wamekubali huwa wanakosea? Basi ni jambo jema. Huyo Zitto toka akose ubunge akili yake ilihama kabisa.
 
Mkuu igogondwa , sio tuu rais anapitia, bali kuna watu maalum, paid by taxpayers money for doing that. Hizo ni figures and data hivyo uki feed wrong data , rais Samia sio mtu wa data na calculus kama JPM, what you feed in is what comes out.
P
Hata Kama sio mtu wa data, ni common sense tu ukiambiwa dola bilion 6000 lazima ushtuke.
 
Ni sahihi kabisa na ndio maana hadi sasa nchi imeingia kwenye mikataba ya ajabu sana.
Ikiwa hawawezi kutofautishaa Kati ya billion na million basi tutegemee kwenye mikataba tutapigwa hadi tukome
 
Sasa yule anayeshauriwa ^kufanya makosa ya kijinga kama hili^ na akalifanya, unamweka kwenye kundi gani?
 
Then, na yeye ajifukuze, au siyo?
 
Kwi Kwi Kwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…