Telewolth bin champion
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 2,386
- 6,473
Wanaonaje ktk hiyo akiba ya kutosheleza kwa miez7 wapunguze akiba ya mwez mmoja iwe kama repairing ya uchumi wa nchi kwa kutoa mikobo kwa wafanya biashara wadogo, kupunguza bei ya pembejeo za kilimo, kufanya upanuzi wa majiji ya nchi, ikiwepo kukarabati njia za mijini na vijijini, pia kutatua kero ya maji na umeme?[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15].
Najua hakuna majibu ya haya maswal, zaid zaid kuna upigaji na utapeli wa kiwango chakutisha..
Hii nchi ina viongozi wa hovyo sana
Najua hakuna majibu ya haya maswal, zaid zaid kuna upigaji na utapeli wa kiwango chakutisha..
Hii nchi ina viongozi wa hovyo sana