Yes, kitu kama hicho. Kipindi hicho nilikuwa darasa la tano kuna mmarekani mmoja alikuwa mwalimu huku tz akawa ananiletea majarida ya huko mbelez yenye hilo vuguvugu.Kama sijakosea alikuwa anaitwa Hans Blinks
Unamfahamu Hans Blix were,kafa lini?Hans Brix
View attachment 1957586
Kati ya viongozi wa Uingereza waliowahi kunikatisha tamaa ni Tony Blair. Huyu alikuwa Waziri Mkuu wa Uingereza kati ya mwaka 1997 mpaka 2007.
Wakati akipata Uwaziri Mkuu, ndiye alikuwa kiongozi kijana kuliko wote kwa miaka 185 ya historia ya Uingereza, na alikuwa na miaka 44 tu.
Na alikuwa kiongozi wa chama cha Labour, chama ambacho nami nikiwa Uingereza nilikipigia kura nikiwa huko. Kwa ujumla vijana nchini Uingereza walimkubali sana.
Tony Blair aliongoza vizuri hadi baada ya 9/11 Marekani ilipopigwa World Trade Centre, New York.
Katika hasira na mchecheto wa kulipiza kisasi, Uingereza na Marekani ilibidi waunde maadui, maana hawakujua nani amewapiga.
Adui mmoja aliyesingiziwa ni Saddam Hussein wa Iraq. Huyu akatengenezewa uongo wa kutisha, ati ana silaha za kutisha zinazoweza kupiga hadi New York ndani ya dakika 45?
Na kwamba silaha hizo hazikai sehemu moja zinazungushwa zungushwa ndani ya Iraq ili zisifahamike ziko wapi.
Tony Blair alikuwa mstari wa mbele kupiga kelele kuwa Saddam ana Weapons of Mass Destruction!
Kilichotushangaza wengi ni kuona uongo wa dhahiri ukipigiwa upatu, na tukajiuliza hivi kuna silaha mbaya na hatari kuliko za Nuclear ambazo wakubwa hawa wanazo?
Pamoja na mapingamixi toka mataifa mengi, Marekani na Uingereza walipitisha Azimio Baraza la Usalama Umoja wa Mataifa, kuwa Saddam apigwe.
Saddam akapingwa na kuuwawa.
Pamoja nao wakauwawa wananchi wengi, wanawake na watoto.
Iraq haikuwahi kuwa salama tena.
Mwisho wa siku ikaja dhihirika kuwa hapakuwa na silaha zozote za maangamizi Iraq.
Waliouwawa waliuwawa bure.
Wale waaarabu walioipiga WTC-World Trade Centre, ikaja gundulika walitoka Saudia. Tony Blair na wenzake waligwaya kwa aibu!
Sasa huyu T Blair aliyesababisha vifo vya watu mamilioni wasio na hatia, yupo hapa kwetu, Ikulu.
Sijafurahia sana kiongozi mwenye mikono ya damu kuwa mgeni wa Mama Samia.
Sijawahi kuona nchi za Ulaya na Marekani wakimwalika Mugabe(Zimbabwe), Idi Amin(Uganda) au Mengiste Haile Mariam (Ethiopia) huko kwao.
Mwana JF, mpe neno!
Blair blamed by Chilcot for 'disastrous and unnecessary' Iraq war
Tony Blair drove Britain to a disastrous and unnecessary war in Iraq, ignoring clear warnings and with “wholly inadequate” planning for the bloody consequences, the Chilcot inquiry concluded today.www.standard.co.uk
View attachment 1957586
Kati ya viongozi wa Uingereza waliowahi kunikatisha tamaa ni Tony Blair. Huyu alikuwa Waziri Mkuu wa Uingereza kati ya mwaka 1997 mpaka 2007.
Wakati akipata Uwaziri Mkuu, ndiye alikuwa kiongozi kijana kuliko wote kwa miaka 185 ya historia ya Uingereza, na alikuwa na miaka 44 tu.
Na alikuwa kiongozi wa chama cha Labour, chama ambacho nami nikiwa Uingereza nilikipigia kura nikiwa huko. Kwa ujumla vijana nchini Uingereza walimkubali sana.
Tony Blair aliongoza vizuri hadi baada ya 9/11 Marekani ilipopigwa World Trade Centre, New York.
Katika hasira na mchecheto wa kulipiza kisasi, Uingereza na Marekani ilibidi waunde maadui, maana hawakujua nani amewapiga.
Adui mmoja aliyesingiziwa ni Saddam Hussein wa Iraq. Huyu akatengenezewa uongo wa kutisha, ati ana silaha za kutisha zinazoweza kupiga hadi New York ndani ya dakika 45?
Na kwamba silaha hizo hazikai sehemu moja zinazungushwa zungushwa ndani ya Iraq ili zisifahamike ziko wapi.
Tony Blair alikuwa mstari wa mbele kupiga kelele kuwa Saddam ana Weapons of Mass Destruction!
Kilichotushangaza wengi ni kuona uongo wa dhahiri ukipigiwa upatu, na tukajiuliza hivi kuna silaha mbaya na hatari kuliko za Nuclear ambazo wakubwa hawa wanazo?
Pamoja na mapingamixi toka mataifa mengi, Marekani na Uingereza walipitisha Azimio Baraza la Usalama Umoja wa Mataifa, kuwa Saddam apigwe.
Saddam akapingwa na kuuwawa.
Pamoja nao wakauwawa wananchi wengi, wanawake na watoto.
Iraq haikuwahi kuwa salama tena.
Mwisho wa siku ikaja dhihirika kuwa hapakuwa na silaha zozote za maangamizi Iraq.
Waliouwawa waliuwawa bure.
Wale waaarabu walioipiga WTC-World Trade Centre, ikaja gundulika walitoka Saudia. Tony Blair na wenzake waligwaya kwa aibu!
Sasa huyu T Blair aliyesababisha vifo vya watu mamilioni wasio na hatia, yupo hapa kwetu, Ikulu.
Sijafurahia sana kiongozi mwenye mikono ya damu kuwa mgeni wa Mama Samia.
Sijawahi kuona nchi za Ulaya na Marekani wakimwalika Mugabe(Zimbabwe), Idi Amin(Uganda) au Mengiste Haile Mariam (Ethiopia) huko kwao.
Mwana JF, mpe neno!
Blair blamed by Chilcot for 'disastrous and unnecessary' Iraq war
Tony Blair drove Britain to a disastrous and unnecessary war in Iraq, ignoring clear warnings and with “wholly inadequate” planning for the bloody consequences, the Chilcot inquiry concluded today.www.standard.co.uk
Mkuu hata walipouwawa wenzetu Sharpeville na makaburu, it was personal.Mkuu hii kitu iko very personal
Nchi nyingi za Ulaya mhamiaji mwenye Permanent Residency permit anaruhusiwa kupiga kura au kupigiwa kura kwenye chaguzi za madiwani. Haruhusiwi kupiga au kupigiwa kura kwenye chaguzi za bunge na juu yakeSamahani mkuu hebu tueleweshe hapo. Ulikuwa na uraia wa Uingereza au huko mtu yeyote tu anapiga kura?
Hakuna fitna hapo Pascal....Tony Blaur is a murderer ..huo ndio ukweli...Hata sikupenda kabisa mtu huyu, ambaye ni beberu mwandamizi kuja TZ...uki-google na bila Shaka umefanya hivyo bila Shaka utajua Tony Blair na makampuni yake...Duh...!. Hili ni bandiko la fitna!.
P
Ukiwa huko unaruhusiwa kupiga kuraSamahani mkuu hebu tueleweshe hapo. Ulikuwa na uraia wa Uingereza au huko mtu yeyote tu anapiga kura?
Fitina fitina maana naona anamhusisha Sadam na September 11.Duh...!. Hili ni bandiko la fitna!.
P
Mawazo yako ni ya kizamani. Nasikia sauti ya polepole.Huyu ni kati ya Economic Hitmen wanaijificha kwenye kichaka cha diplomasia.
Wanatumika kuwalainisha viongozi wetu kama Hangaya na wengine kuruhusu mikataba ya kinyonyaji kwa njia mbali mbali.
Mbona na hapa kwetu tulikuwa nao/tunao viongozi waliojaa damu tena za watanzania wenzetu? Mbona hamuanzi na hao mnamshupalia mgeni huyu? Huo ni unafiki.Busara ilikuwa kuelewa msingi wa mada yenyewe.
Blair ni nuksi, kila anachoshika ni kawama, ana mikono iliyojaa damu za watu waliouwawa kwa hila huko Iraq.
Mawazo yako ni ya kijima kabisa. Nasikia sauti ya polepole.Kwa kawaida hawa viongozi wa wazungu huwa wanawaalika kwao watawala wa Afrika ambao hawajielewi.Watawala ambao wameamua kuishi kupigia magoti 'wajomba' ili kuhemea vibaba katikati ya utajiri mkubwa uliowazunguka.Kiufupi hujenga uswahiba na watawala goigoi na shortsited katika kujikomboa.
Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Taratibu mkuu, hata tulipofika leo kukubali kuwa tulikuwa na viongozi wenye mikono ya damu ni hatua moja mbele.Mbona na hapa kwetu tulikuwa nao/tunao viongozi waliojaa damu tena za watanzania wenzetu? Mbona hamuanzi na hao mnamshupalia mgeni huyu? Huo ni unafiki.
Mawazo yako ni ya kijima mno!Hakuna heri yoyote mkuu. Tony ni economic hitman. Watu wa aina yake wanafanya kazi kubwa sana kuhakikisha superpowers ziendelee kunufaika na nchi za huku kwetu kuendelea kudidimia kwenye mikopo na madeni kila uchao.
Naona makengezaaaa tu 😂 Au ni mm tu jaman??View attachment 1957586
Kati ya viongozi wa Uingereza waliowahi kunikatisha tamaa ni Tony Blair. Huyu alikuwa Waziri Mkuu wa Uingereza kati ya mwaka 1997 mpaka 2007.
Wakati akipata Uwaziri Mkuu, ndiye alikuwa kiongozi kijana kuliko wote kwa miaka 185 ya historia ya Uingereza, na alikuwa na miaka 44 tu.
Na alikuwa kiongozi wa chama cha Labour, chama ambacho nami nikiwa Uingereza nilikipigia kura nikiwa huko. Kwa ujumla vijana nchini Uingereza walimkubali sana.
Tony Blair aliongoza vizuri hadi baada ya 9/11 Marekani ilipopigwa World Trade Centre, New York.
Katika hasira na mchecheto wa kulipiza kisasi, Uingereza na Marekani ilibidi waunde maadui, maana hawakujua nani amewapiga.
Adui mmoja aliyesingiziwa ni Saddam Hussein wa Iraq. Huyu akatengenezewa uongo wa kutisha, ati ana silaha za kutisha zinazoweza kupiga hadi New York ndani ya dakika 45?
Na kwamba silaha hizo hazikai sehemu moja zinazungushwa zungushwa ndani ya Iraq ili zisifahamike ziko wapi.
Tony Blair alikuwa mstari wa mbele kupiga kelele kuwa Saddam ana Weapons of Mass Destruction!
Kilichotushangaza wengi ni kuona uongo wa dhahiri ukipigiwa upatu, na tukajiuliza hivi kuna silaha mbaya na hatari kuliko za Nuclear ambazo wakubwa hawa wanazo?
Pamoja na mapingamixi toka mataifa mengi, Marekani na Uingereza walipitisha Azimio Baraza la Usalama Umoja wa Mataifa, kuwa Saddam apigwe.
Saddam akapingwa na kuuwawa.
Pamoja nao wakauwawa wananchi wengi, wanawake na watoto.
Iraq haikuwahi kuwa salama tena.
Mwisho wa siku ikaja dhihirika kuwa hapakuwa na silaha zozote za maangamizi Iraq.
Waliouwawa waliuwawa bure.
Wale waaarabu walioipiga WTC-World Trade Centre, ikaja gundulika walitoka Saudia. Tony Blair na wenzake waligwaya kwa aibu!
Sasa huyu T Blair aliyesababisha vifo vya watu mamilioni wasio na hatia, yupo hapa kwetu, Ikulu.
Sijafurahia sana kiongozi mwenye mikono ya damu kuwa mgeni wa Mama Samia.
Sijawahi kuona nchi za Ulaya na Marekani wakimwalika Mugabe(Zimbabwe), Idi Amin(Uganda) au Mengiste Haile Mariam (Ethiopia) huko kwao.
Mwana JF, mpe neno!
Blair blamed by Chilcot for 'disastrous and unnecessary' Iraq war
Tony Blair drove Britain to a disastrous and unnecessary war in Iraq, ignoring clear warnings and with “wholly inadequate” planning for the bloody consequences, the Chilcot inquiry concluded today.www.standard.co.uk
Mohammed el Baradei au?Nakumbuka kama si 2002 au 2003 kuna mkaguzi wa silaha za maangamizi alienda kukagua Iraq akaambulia patupu. Mwishowe tukasikia amejinyonga, sasa sijui alijinyonga kweli au walimfanyizia sijui.