Tayari wako ndaniNadhani ili kusiwe na mizengwe na fomu za mapingamizi ziweze kufika salama ilitakiwa hii taarifa itolewe wakati Mheshimiwa Lissu akiwa ameshafika yupo ndani ofisi za tume.
Maelekezo hayachelewi kutolewa kwa wale vijana servicemen wa jkt pale getini wakiwa na incharge wao corporal wa Jw wamzuie mheshimiwa mpaka ikifika saa16:00 ndo wawaruhusu kuingia halafu wakishaingia wakaambiwe ndani muda umeisha wa kuweka mapingamizi
Raisi wa JMTZ ni raisi mpaka pale Raisi mpya atakapoapishwa, hiyo ni Katiba ya JMTZ, huyo low IQ wenu anawadanganya na kuwapotosha, kwangu mimi ni Maajabu mnaweza ongozwa na Binadamu kama huyo, hata simple logic hana, siajabu hata na yeye kweli anaamini hivyo kwamba Magufuli siyo Raisi wa JMTZ kwa sasa!
Kifo chake kinachukua miaka mingapi?maana huu utabiri uchwara ukianzia kwa Wassira.
Kabisa madamTundu Anarukaruka tu kama maharage lakini ataiva na kuliwa tu
Raisi wa JMTZ ni raisi mpaka pale Raisi mpya atakapoapishwa, hiyo ni Katiba ya JMTZ, huyo low IQ wenu anawadanganya na kuwapotosha, kwangu mimi ni Maajabu mnaweza ongozwa na Binadamu kama huyo, hata simple logic hana, siajabu hata na yeye kweli anaamini hivyo kwamba Magufuli siyo Raisi wa JMTZ kwa sasa!
Nenda google kasome effects of ‘life event’ or significant life events
..amemuwekea pingamizi magufuli mgombea uraisi kupitia ccm.
..hajamuwekea pingamizi magufuli raisi wa jmtz, na wala hajamzuia kutekeleza majukumu yake ya kikatiba.
CCM wamenunua mapingamizi lakini chadema wanaweka pingamizi za ukweli ingawa jaji kaijage ataipendelea CCM kulinda mshahara na kiinua mgongo chakeNi ngumu kumahinda bwana yule kwa pingamizi, patachimbika
Tuliza mshono dada watu wanakutana na barrier huko ni vilio tu vya kugugumia!
Ni lile ambalo likipondwa linakuwa kokotoJiwe ndo nani mkuu, maana huwa nalisikia tu jiwe ila sijawahi kulijua[emoji2]
Lisu angekuwa na akili angetumia huo muda kuwasaidia wagombea wake ambao majimbo yao ccm imepita bila kupingwa huku majimboni kuliko kupoteza muda kutafuta kitu ambacho hakita mpa ushindiSky, nadhani angelipotezea, likapita wakakutana kwenye uwanja. Hawawezi kumkata hivyo unapotezea
Sasa hapa CCM itabidi wamuite Mtemi Chenge. Maana la sivyo wale vilaza wakiongonzwa na mwenyekiti wao watachanganyikiwa. Chenge pekee ndo kiboko ya Lissu.
Pole kwa kero mkuu. Najua humpendi kabisa na sasa karudi na hajakamatwa na anamwekea pingamizi raisi unayempenda sana.Raisi wa JMTZ ni raisi mpaka pale Raisi mpya atakapoapishwa, hiyo ni Katiba ya JMTZ, huyo low IQ wenu anawadanganya na kuwapotosha, kwangu mimi ni Maajabu hata mnaweza ongozwa na kumfwata Binadamu kama huyo, hata simple logic hana, siajabu hata yeye ni kama wewe anaamini kweli kabisa kwamba Magufuli siyo Raisi wa JMTZ kwa sasa!
Mlamu acha papara, pingamizi inakuwa dhidi ya mgombea na si Rais.... jikite hapo tu kujenga hoja zako.
You are not fit for the thread [emoji15]Watu wakisema huyu mtu anahitaji msaada wa kitaalamu ajatulia mnaona wanamnanga.
Kadri siku zinavyoenda ndio anazidi kuonekana kituko kwenye jamii yeye kila kitu anafanya tofauti na wenzake.
Lissu is not fit for office
Nakwambia Lissu atainyoosha kama rula! Huyu jamaa yuko strict and straightNchi ina miaka 59 haina maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, badala ya maendeleo pesa zote za viwanda CCM wamezielekeza kwenye kudidimiza demokrasia kuua upinzani kurejesha mfumo wa chama kimoja.
Pole kwa kero mkuu. Najua humpendi kabisa na sasa karudi na hajakamatwa na anamwekea pingamizi raisi unayempenda sana.
Jifariji tu, naona ushaanza kupoozaa utadhani umefumaniwa na mke wa MjumbeMgombea Uraisi ni Raisi wa JMTZ, hashitakiwi wala kuhukumiwa popote pale ndani ya JMTZ, siyo Mwanasheria lkn simple logic inatosha!