Tayari wako ndaniNadhani ili kusiwe na mizengwe na fomu za mapingamizi ziweze kufika salama ilitakiwa hii taarifa itolewe wakati Mheshimiwa Lissu akiwa ameshafika yupo ndani ofisi za tume.
Maelekezo hayachelewi kutolewa kwa wale vijana servicemen wa jkt pale getini wakiwa na incharge wao corporal wa Jw wamzuie mheshimiwa mpaka ikifika saa16:00 ndo wawaruhusu kuingia halafu wakishaingia wakaambiwe ndani muda umeisha wa kuweka mapingamizi