Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Nadhani ili kusiwe na mizengwe na fomu za mapingamizi ziweze kufika salama ilitakiwa hii taarifa itolewe wakati Mheshimiwa Lissu akiwa ameshafika yupo ndani ofisi za tume.
Maelekezo hayachelewi kutolewa kwa wale vijana servicemen wa jkt pale getini wakiwa na incharge wao corporal wa Jw wamzuie mheshimiwa mpaka ikifika saa16:00 ndo wawaruhusu kuingia halafu wakishaingia wakaambiwe ndani muda umeisha wa kuweka mapingamizi
Tayari wako ndani
 
Raisi wa JMTZ ni raisi mpaka pale Raisi mpya atakapoapishwa, hiyo ni Katiba ya JMTZ, huyo low IQ wenu anawadanganya na kuwapotosha, kwangu mimi ni Maajabu mnaweza ongozwa na Binadamu kama huyo, hata simple logic hana, siajabu hata na yeye kweli anaamini hivyo kwamba Magufuli siyo Raisi wa JMTZ kwa sasa!

..amemuwekea pingamizi magufuli mgombea uraisi kupitia ccm.

..hajamuwekea pingamizi magufuli raisi wa jmtz, na wala hajamzuia kutekeleza majukumu yake ya kikatiba.
 
Raisi wa JMTZ ni raisi mpaka pale Raisi mpya atakapoapishwa, hiyo ni Katiba ya JMTZ, huyo low IQ wenu anawadanganya na kuwapotosha, kwangu mimi ni Maajabu mnaweza ongozwa na Binadamu kama huyo, hata simple logic hana, siajabu hata na yeye kweli anaamini hivyo kwamba Magufuli siyo Raisi wa JMTZ kwa sasa!

Mlamu acha papara, pingamizi inakuwa dhidi ya mgombea na si Rais.... jikite hapo tu kujenga hoja zako.
 
..amemuwekea pingamizi magufuli mgombea uraisi kupitia ccm.

..hajamuwekea pingamizi magufuli raisi wa jmtz, na wala hajamzuia kutekeleza majukumu yake ya kikatiba.


Ni mtu low IQ tu anayeweza kufanya hivyo kwenye nchi yenye Katiba kama yetu huku akitegemea kushinda uchaguzi, ...
 
Sky, nadhani angelipotezea, likapita wakakutana kwenye uwanja. Hawawezi kumkata hivyo unapotezea
Lisu angekuwa na akili angetumia huo muda kuwasaidia wagombea wake ambao majimbo yao ccm imepita bila kupingwa huku majimboni kuliko kupoteza muda kutafuta kitu ambacho hakita mpa ushindi
 
Raisi wa JMTZ ni raisi mpaka pale Raisi mpya atakapoapishwa, hiyo ni Katiba ya JMTZ, huyo low IQ wenu anawadanganya na kuwapotosha, kwangu mimi ni Maajabu hata mnaweza ongozwa na kumfwata Binadamu kama huyo, hata simple logic hana, siajabu hata yeye ni kama wewe anaamini kweli kabisa kwamba Magufuli siyo Raisi wa JMTZ kwa sasa!
Pole kwa kero mkuu. Najua humpendi kabisa na sasa karudi na hajakamatwa na anamwekea pingamizi raisi unayempenda sana.
 
Mlamu acha papara, pingamizi inakuwa dhidi ya mgombea na si Rais.... jikite hapo tu kujenga hoja zako.


Mgombea Uraisi ni Raisi wa JMTZ, hashitakiwi wala kuhukumiwa popote pale ndani ya JMTZ, siyo Mwanasheria lkn simple logic inatosha!
 
Watu wakisema huyu mtu anahitaji msaada wa kitaalamu ajatulia mnaona wanamnanga.

Kadri siku zinavyoenda ndio anazidi kuonekana kituko kwenye jamii yeye kila kitu anafanya tofauti na wenzake.

Lissu is not fit for office
You are not fit for the thread [emoji15]
 
Nchi ina miaka 59 haina maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, badala ya maendeleo pesa zote za viwanda CCM wamezielekeza kwenye kudidimiza demokrasia kuua upinzani kurejesha mfumo wa chama kimoja.
Nakwambia Lissu atainyoosha kama rula! Huyu jamaa yuko strict and straight
 
Mgombea Uraisi ni Raisi wa JMTZ, hashitakiwi wala kuhukumiwa popote pale ndani ya JMTZ, siyo Mwanasheria lkn simple logic inatosha!
Jifariji tu, naona ushaanza kupoozaa utadhani umefumaniwa na mke wa Mjumbe
 
Back
Top Bottom