Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Tukiwaambia chadema ni wajinga wanatokwa povu!

Wenzenu huku tayari wana wabunge 22 nyie bado mnahangaika kukagua form?
Mambo mengine ni ujuaji ambao hauna maana.

Kwahiyo anategemea kuna mtu ataenguliwa ili yeye abaki peke yake?
Hao ni wabunge wenu wa viti maalum siyo walio chaguliwa na wananchi
 
Wewe ndio hujitambui, wala huelewi sheria. Zawadi yako hii => 🖕 🖕 🖕
 
ww wa wapi we, hakuna aliye juu ya sheria. Ivorycost raisi aliye kwenye dola kazuiliwa kushiriki kwenye uchaguzi na mahakama kwa kuvunja sheria, hapa bongo watawala wanakanyaga sheria tu
 
Ni mtu low IQ tu anayeweza kufanya hivyo kwenye nchi yenye Katiba kama yetu huku akitegemea kushinda uchaguzi, ...

..hapana.

..kwenye suala la uchaguzi wagombea wote wana haki sawa.

..unless unazungumzia ubatili aliousema Dr.Bashiru wa "kutumia dola kubaki madarakani."
 
Kidumu kidumu na kikaendelee kudumu kaburini
 
Kuna uadui mkubwa zaidi ya kupigwa risasi hadharani?
 
Anayewekewa pingamizi Ni Pombe Magufuli na siyo Raisi Pombe Magufuli

Raisi ni taasisi acha ujinga uliokithiri !
 
Kwahiyo wale wabunge wakuteuliwa mulio watangaaza Jana wote wamepita kwa haki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…