Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Kwani form alikuwa anajaza Kama rais au Kama magufuli?
 
Lissu hakuja kiushindani wa kisiasa ila ni vurugu tupu! Ndio maana akaiacha familia yake huko ugenini ili akilitibua aondoke bila mzigo. Hakuna mtanzania anaependa vurugu. Ataisoma 28 oct atawajua vizuri wa TZ
 
Tulieni sindano ipenye, i know you didnt expect that Lissu's act toward your candidate. Sasa mkae kwa kutulia he is the one, the phenomenon wa sheria.
 
Kinana, Makamba Jr, Jk and Nape ni muda muafaka warudishwe kuongoza vita, hawa akina Katambi, Musiba, Bashiru, Polepole n.k. Lissu atadribble past them like Lunyamila enzi zake
Hawa watu sijui wako wapi? Hawa ni ccm wanaojua wapigane vipi. Wamekwepa mishale mingi.
 
Huu ni mtego kwa tume kudhihirisha ile wanaita "tume huru"... Lissu is a brilliant man
 
Nikuulize wewe unayejazwa ujinga na mgojnwa wa akili.watu wametulia tu hawana time nae,si kuna kitu mnakitaka? Mtakipata soon
We jinga sana Unatumia nini kufikiria tko au!
 
Sijapata kuona mtu mluga luga kama huyu jamaa,anapeeenda sifa za kishamba,kitambo tu nimeshtukia kwamba jamaa hamna kitu kabisa zaidi ya mr misifa wa siasa


Nasubiri akishapigwa za uso kwenye uchaguzi mkuu,ajichanganye ili wamuonyeshe kazi,watu wanamchora tu!!
 
Hii yote ndio maana ya kuudai upya Uhuru wa habari na haki za msingi
 

Haiwezekani hata kwa mfano mshindi championi anaenda moja kwa moja nyie ndo mnafanya mchujo.
Hapo tundu anajifulahisha na kufulahisha watu wa chadema.
 
Anatumbuliwa hapo hapo huyo mkurugenzi.

Anapoliza kutangaza anakuwa tayari si mkurugenzi tena na majanga mengine yatamfuatia.
Lile tamko la kumuengua kugombea latosha , hata mkurugenz wa nec akitumbuliwa bado huku kuna jambo lazima lianze upya ,
 
Ask any political advisor he will tell you that Lisu is wrong when election is near you highly need support from all parties including ruling party members
What is wrong for lissu? Highlight please mataga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…