Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Cheki bavicha facebook
 
Lisu nipilitone mbeya ya magufuri
Yaani usicheze na magufuri wee mziki wa magufuri balaaa
 
Lisu na jpm wote ni walemavu kiakili!!Akili zilizozidi ndio ulemavu wenyewe!!ngoja tuone mpambano wa vichaa wenye akili zilizozidi!!!
 
Unaujua mwisho wa watu walioponea chupuchupu kwa kupigwa risasi duniani??
 
Unaujua mwisho wa watu walioponea chupuchupu kwa kupigwa risasi duniani??
Kwamba mwisho wao ni kuwa marais?

Huyo Lisu atakuwa rais wenu wana ufipa na atakuja kuaoishwa na yule beberu wake amsterdam.
 
Nimemsikiliza Lisu, he has a point to ponder. Nchi zenye uhuru, demokrasia ya kweli kama USA, Canada, UK and the like, mtu hapa alikuwa anakwenda na Maji!

Lakini kwa hapa, basi ngoja dunia watuangaze maana sidhani kama haki itatendeka!
 
NEC nao wataongea na waandishi wa habari . Tutagawana vyombo vya habari vya kupata taarifa muda sio mrefu 😂😂😂😂😂😂

Halafu bwana mkubwa kanyamaza tu kimya this time amekuwa mvumilivu au kuna kitu ananyatia 😂😂😂😂😂😂
 
Angewekewa pingamizi yeye tungesikia makelele kibaao, oooh wanamuogopa, wamuache waingie ulingoni, wanafiki bwana
 
Yatarudishwa yote hayo.Huu si wakati ule lowassa Bubu aligombea na hajui hata Sheria za uchaguzi zinasemaje, Huyu Mbobezi wa sheria atawashangaza na hamtaamini atakavyoandika Historia mpya. Magufuli mwenyewe na Pole pole sasa hivi wanaugua Opademia Jahazi linazama wakiwa ndani yake.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Baada ya oktoba 28 mtapoteana humu,

Hivi mwenzio tayari ana mabao 22 wewe una 0 bado unaota ushindi?

Lisu atatia aibu sana mwaka huu
 
Yatarudishwaje sasa?

Wote nyie hamjielewi ndio maana mmekomaa kushangilia mapingamizi ya kijinga ya Lisu.

Huku field wenzenu wanajua nini cha kufanya
 
Naona Mr drama anaendeleza drama, the fact is, hata Magufuli ikitokea amepata dharula gani akashindwa kushiriki kampeni, na Lissu akabaki yeye na wagombea wa vyama vingine, He can't win election. I can see him leaving after this election, he won't forget this year ever
 
Jaribu kufikiria uhakiki wa kila mdhamini kwa wagombe wote ingefanyika pale... Tume ingetumia muda gani kupokea form na kupitisha wagombea.. simple logic tuu
Yatarudishwaje sasa?

Wote nyie hamjielewi ndio maana mmekomaa kushangilia mapingamizi ya kijinga ya Lisu.

Huku field wenzenu wanajua nini cha kufanya
 
Furaha ya Jana nikilio chaleo mbona hutaangaazi tena wale wabunge wako wakuteouliwa
 
Magu yu juu ya sheria?
hayupo juu ya sheria so far nimgombea , ila kwa hili watu wake wamehujum ,sasa sijui itakuaje, maana hoja zina mashiko thats hata kwenye majimbo zimetumika kuwaengua wabunge , je tume itajinasuaje,
 

Kwa taarifa yako ukiwa rais nchi hii, unaweza kufanya chochote. Hilo bunge hata kama watakuwa wanaccm watupu, unawahonga wachache wanajitoa ccm wanakwenda kuunga juhudi, wale wenye msimamo unawateka hata mauji. Baada ya miezi miwili wabunge wote wanakuwa wa chama chako. Tena wabunge wenyewe ndio hao wasakataji tonge wala huumizi kichwa.
 
Mbona kinyonge sana? Una njaa? Kale

Ujinga kanifundisha mama yako, maana hapo awali nilikuwa na akili.
Sasa kama mama yako kanifundisha ujinga, nyie watoto wake basi mlizaliwa wao!
Mbona umeshikwa na uchungu kama mja mzito sasa ilefuraha yako ya Jana imeishia wapi yakukatika viuono ukishangiria wabunge wako 20 wakuteuliwa
 

Watanzania maana yake ni kutawaliwa na ccm kwa shuruti? Au unadhani hatuoni wanayofanya ccm ili kutangazwa washindi? Hapa tulipofikia bila machafuko hakuna muafaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…