Kila mmoja anaongea lake we unasema ule umma wote waliacha shughuli zao na kwenda kuhakikish kama kweli kafariki, wengine wanasema wale walikuwa chawa wake kwamba hata Hitler alizikwa na watu wengi zaidi na wengine wanasema watu walilazimishwa kwenda kuzika sijui maduka yalifungwa.Walijitokeza kwa wingj kujiaminisha kama kweli shetani kafa au anawazuga. Baada ya kuthibitisha kadedi wakaamua wakahakikishe kabisa kama shetani kazikwa.... baada ya hapo nchi imetulia kwa amani
Hajisikii vibaya kwakuwa ipo kwenye damu.Labda anaandaa namna atakavyoingia 2025.Mzee wa bakoraNdugai anajisikiaje?
Hapa kuna mpigo mwingine wa pesa za umma. Utasikia kalipwa 15bMakamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema Rais Samia amemlipa stahiki zake kama Mbunge ambazo ni kiinua mgongo, Serikali ya Rais Magufuli ilikuwa imekataa kumlipa.
Pia, Serikali ilimuambia aandike barua pamoja na kuambatanisha na nyaraka ili apewe fedha zake za matibabu ambazo Serikali ya Rais Magufuli pia ilikataa kumlipa.
Pia Tundu Lissu amesema wanachama wa CHADEMA ambao walifungwa ama kuwekwa mahabusu kipindi cha Magufuli wameachiwa kasoro kesi chache ambazo nazo zinashughulikiwa.
Tundu Lissu alikutana na Rais Samia alipotembele nchini Ubelgiji ambapo waliongea mambo kadhaa ikiwemo stahiki hizo.
Sukari itakuwa imepanda hadi 30 huko alikoNdugai anajisikiaje?
Ni wahamiaji haramu toka BurundiSasa wale waliojaa kwenye mazishi yake ni rai kutoka Burundi?
What if there is external forces? Not that for every action there is equal and opposite reaction.Ingawa Rais Samia, kama mwanadamu, anaweza kuwa na mapungufu yake, lakini kwa kweli katika utu, hekima, ubinadamu na busara, Mungu amemjalia. Tumshukuru Mungu kwa kutupa nafasi mbili zilizo kinyume:
Alitupatia kiongozi katili asiye na busara, ili tuone umuhimu wa kuwa na kiongozi mwenye busara.
Akatupatia kiongpzi mwenye busara, ili kutuoneshe ilivyo jambo jema na la furaha kuwa na kiongozi mwema.
Rais Samia, kwa hekima yake, ataheshimika na wengi, tofauti na mtangulizi wake ambaye ameendelea kudharaulika kwa ukatili wake, hata wakati akiwa ameondoka Duniani.
Maombi yetu, Mungu azidi kumjalia busara Rais Samia, maana busara ya kiongozi ni faraja kubwa kwa wanaoongozwa.
Hakuna cha hesabu, huwezi ukaumiza mioyo ya watu kikatili kiasi kile, kisha utegemee kukubalika. Yule mzee alikuwa ameumiza mioyo ya watu wengi akiwemo mke wake. Anachokifanya mama kwa sasa ni kujaribu kuitibu mioyo iliyoumia sana. Hata mimi ningekuwa kwenye nafasi yake ningefanya hivyo hivyo. Yule mzee alikuwa ni wakala wa shetani. He deserved to die on that very time.Hahahaaaa kwenye siasa kuna hesabu zake mkuu, kikubwa ni matumizi sahihi ya mtaji kwa wakati sahihi
Rest well our hero John Pombe Magufuli
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais Samia suluhu Hasan
ARUDI nyumbani sasa aitumikie nchi yake haya mambo ya kukaa ughaibuni hayana afya.amesomeshwa na serikali aje aitumikie serikali na wananchi wake.Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema Rais Samia amemlipa stahiki zake kama Mbunge ambazo ni kiinua mgongo, Serikali ya Rais Magufuli ilikuwa imekataa kumlipa.
Pia, Serikali ilimuambia aandike barua pamoja na kuambatanisha na nyaraka ili apewe fedha zake za matibabu ambazo Serikali ya Rais Magufuli pia ilikataa kumlipa.
Pia Tundu Lissu amesema wanachama wa CHADEMA ambao walifungwa ama kuwekwa mahabusu kipindi cha Magufuli wameachiwa kasoro kesi chache ambazo nazo zinashughulikiwa.
Tundu Lissu alikutana na Rais Samia alipotembele nchini Ubelgiji ambapo waliongea mambo kadhaa ikiwemo stahiki hizo.
Kafa kisiasa tayari hana mvutoHajisikii vibaya kwakuwa ipo kwenye damu.Labda anaandaa namna atakavyoingia 2025.Mzee wa bakora
Kwa taarifa yako sio tu Raisi Samia, hata maraisi wengine waliopita waislamu walikuwa na utu angalau, nakukumbusha linganisha uongozi wa Raisi Mwinyi, Raisi Kikwete na maraisi wengine kuanzia Nyerere, Mkapa hadi Magufuli.Tatizo la watanzania wengi tuna low thinking capacity. Nadhani ni sababu ya lishe, makuzi, utamaduni na elimu. Mtanzania mwonyeshe tarakimu moja tu yeye tayari ameshatoa conclusion kama amefanya research ya miaka 50! Mtu kama wewe unaangukia kwenye hili kundi. Samia hajafanya lolote jipya bali amesema haki itendeke. Kwanza kitendo cha mambo madogo kama haya kutegemea utashi wa rais ni hatari kubwa. Na bado haoni ulazima wa kubadilisha mfumo na raia kama wewe pia hamuoni ulazima wa kubadili mfumo! Mnabaki kusifu kitu ambacho bado kinaweza kujirudia wakati wowote!
Sasa Kuna vijana wa ufipa hawataki amini kina MDUDE CHADEMA hawamini wanachokiona kuona maboss wao wakula kuku na wao wamezoea matusiSiyo kusujudu bali ni fact,huyu mama huwezi kumlinganisha na jiwe alivyokuwa na roho mbaya sana
Ametenda haya kwa kuwa tu ni mamaWaislamu wa bongo wanaroho nzuri sana kuliko wakristo sijui kwanini
Mimi na wenzangu tulienda kujiaminisha kama ni kweli kasukumizwa shimoni.Kila moja anaongea lake we unasema ule umma wote waliacha shughuli zao na kwenda kuhakikisha, wengine wanasema wale walikuwa chawa wake kwamba hata Hitler alizikwa na watu wengi zaidi na wengine wanasema watu walilazimishwa kwenda kuzika sijui maduka yalifungwa.
Nadharia nyingi sana.
Ngosha alikuwa shetan haswaaMama Samia ataishi. Ataiepuka jehanamu maana amemtendea mema mwana wa Mungu Tundu Lisu tangu mwanzo.
Yule shetani ndiyo maana aliondolewa mapema na muumba.
Mmmeanza na mambo yenu ya udini...kwani ni lazima kila kitu kinasibishwe na dini?Waislamu wa bongo wanaroho nzuri sana kuliko wakristo sijui kwanini
Samia alisha mwambia siku nyingi tu kuwa hana cha kuogopa kurudi nyumbani yeye kama anataka kurudi arudi tu.....ni Lissu mwenyewe ndio anaringa kujaPongezi kwa Samia.
So, Samia kamlipa stahiki zake zote ila bado hajamkubalia kurudi nyumbani? au alishakubaliwa kurudi nyumbani ila yeye ameamua kubaki Ubelgiji kwa mambo yake binafsi?
Atuweke wazi na kwenye hilo, sababu huwa anatoa ahadi za nitakuja tarehe fulani, halafu tarehe hiyo ikifika haonekani bila kutuambia kwanini hajarudi, ili kama lawama zibaki kwa Samia na serikali yake tujue, au kama lawama ni za Lissu binafsi tujue.
Ukweli acha usemweMmmeanza na mambo yenu ya udini...kwani ni lazima kila kitu kinasibishwe na dini?
Sawa ndugu lakini kama walivyosema wengine, wema au ubaya wa mtu hausababishwi na dini yake ni hulka ya mtu mwenyeweUkweli acha usemwe