Dawa ya ulio yaandika ni kuingia mkataba kama huo?Kama uzalendo ni kupitisha madawa ya kulevya bandarini, kupitisha baadhi ya mizigo ya wasiotaka kulipa kodi mlango wa nyuma na baadae mpitishaji kupewa chake mtaani na mwenye mzigo...
Bavicha mmepata ajenda ya kukalia vikao, kima nyieHili la bandari Tanganyika tu, na miaka miaka milele sio dogo, halitaishia kwenye hukumu tu!
Naomba usifanye utani hapa.Basi mzee Nyerere atakuwa ametengeneza taifa la hovyo ambalo vijana wake wapo tayari kutumiwa na adui kwa sababu ya vijisent vidogo vya mboga na ujinga wa kutafakari ya kesho.
Wewe ni mjinga.Kakaa ulaya miaka 6 anakula hela za wazungu mama kamuonea huruma na magongo yake sahizi anaharisha pumba tu
Tuwe wapoleTutamlilia mungu na atatusikia.
1. Loliondo
2. Ngorongoro
3. Bandari
4. Misitu
5. Posta
etc etc vingi tusivyojua
Safari hii litampata kama la JiweDua la kuku halimpati mwewe...
Watanganyika ndio wakina nani hao?
Bando halina kazi mpaka ni google vitu ambavyo mtoa hoja anapaswa kunijibu
Basi ielewemitaa ya DPWorld kupitia kwa watanganyikaBando halina kazi mpaka ni google vitu ambavyo mtoa hoja anapaswa kunijibu
Watanganyika hawapo dunia hiiBasi ielewemitaa ya DPWorld kupitia kwa watanganyika