Pre GE2025 Tundu Lissu: Tuna upungufu wa kutisha wa fedha kwa ajili ya shughuli za Chama (CHADEMA), msiniulize nimekuta nini, jibu halitakuwa zuri!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lakni mbona mnashindwa kuelewa kitu kidogo tu. Ama kweli huko lumumba mnavuliwa akili ndio maana mnashindwa na hoja zenu zinakinzana.
 
Mkuu hii timeline ya Miez sita ni yakwako .

Kiongozi anapimwa kwa

The first One month in the office
The first 100 days..

Ila mpaka sasa ukiacha hotuba za kufurahisha hakuna kitu kimefanyika..

Michango ya NIMO ni failure bab kubwa...

Anarudia yale yale ya Mwamba kwenye fund raising lakini walimtukana nayo vya kutosha...

Muda ni rafiki wa haki.
 
Wengi walifikiri kuendesha Chama ni sawa na genge la nyanya.Wafadhili wakubwa wa Chadema kutoka Kariakoo wamesusa.Sasa ndio muda wake wa kuonyesha kwamba yeye ni kiongozi na sio kelele za kwenye mitandao na Press Conference.
 
Je,
hakujua kwamba baada ya retreat ya kifahari bagamoyo kwa zaidi ya siku5, pesa zingine zingehitajika kwa matumizi mengine?

unafanyaje retreat ya milioni 65 hali ya kua huna mpango mkakati unaoeleweka kiuchumi kuendesha chama?

kwani wangefanya hapo HQ kulikua na ubaya gani mathalan?🐒
 
Naona machawa punguani mnaunganisha nguvu ili kuwa punguani zaidi.
relax kwa utulivu gentleman,
Chadema inapitia ukata wa kiwango kibaya sana baada ya retreat ya kifahari sana kwa viongoz wapya, ya gharama zaidi ya milioni 65 bagamoyo,

Inasikitisha sana na inafedhehesha sana aise 🐒
 
Walienda expensive retreat ?

Nooooway😂.
 
Lengo la "NO REFORM ,NO. ELECTIONS" limeanza KUFUNUKA....

TL ameikuta "account" ya chama iko kame ,amemaizi kuwa ndani ya muda mfupi hawezi kukijenga CHAMA na kushinda wabunge na madiwani wengi....


TL ana mwaka mzima wa kuichechemesha CDM angalau ianze kupumua.....na muda huo UCHAGUZI UTAKUWA UMESHAPITA.....

TL mjanja sana ,ila ujanja wake wa kitoto ,apambane uchumi wa chama na si kauli koko za "no reforms no elections".
 
LISSU AACHE KUTAFUTA MCHAWI, ATUMIE AKILI KUPATA FEDHA KAMA MWENYEKITI ALIYEPITA JINSI ALIVYOKUWA AKIJITOLEA, AACHE KULALAMA, SASA AMEKUWA MWENYEKITI AONGOZE CHAMA KWA WELEDI ILI AWE MWENYEKITI WA MFANO.
 
Tafuta pesa acha visingizio.CHADEMA imeingiliwa na vibaka na matapeli wa kisiasa
 
Reactions: Tui
Kuwa muumin wa ukweli.
Itakusaidia maishan.
Inaonekana umejaa unafiki na woga.
 
Mwamba alikuwa amejitolea au alikuwa anakomba kibubu? Unamsifia mwizi!?
 
LISSU AACHE KUTAFUTA MCHAWI, ATUMIE AKILI KUPATA FEDHA KAMA MWENYEKITI ALIYEPITA JINSI ALIVYOKUWA AKIJITOLEA, AACHE KULALAMA, SASA AMEKUWA MWENYEKITI AONGOZE CHAMA KWA WELEDI ILI AWE MWENYEKITI WA MFANO.

Hawezi lalama kwako maana Huna hela wewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…