Nafikri waziri atakuwa hajachukizwa na kucheza mziki, kilichomwuzi utakuwa ujumbe ulioko kwenye mziki! "Mpenzi wangu akinuna namkatia kiuno". Hivi hata wewe mkuu ukiwa umenuna my wife wako akakuingiza chemba akakutia kiuno utaendelea kununa?mkuu acha makasiriko, acha watoto waenjoy kwa muda
Mimi niko upande wa waziri!Being positive, hapo hakuna kosa. Ni burudani baada ya kazi, sasa kwani wakicheza ngoma zetu za asili hawakati viuno?
Hawa mawaziri wajiepushe na kauli za kukurupuka.
Nimeshawatolea povu huko juu mdogo wangu acha tu viongozi mizigo ndo hao na walivyosimama sasa wapo serious na yule maza gwajima poh utasema watu kumbe vilaza tuHivi ni nani huyo kaifanya hii furaha ya watoto kuwa tukio la kiharifu?
Hii nchi Kuna namba viongozi wetu wanarukwa na akili.
Sijui ndo kiwewe cha uongozi.
Wakatekeleze mambo ya msingi.
Miaka 60 ya uhuru ,shule bado watoto wanakaa chini
Ila yapo yanaitana kujadili nyimbo ya Zuchu.
Pumbavu sana,wakajadili na Basata
Ama wamwite Zuchu mwenyewe.
Yeye alivyomaliza darasa la 4 na 7kabisa mkuu, sijui kwa nn anataka kuwanyima watoto haki yao ya msingi ya kucheza na kufurahi na walimu wao.
FUNKY analogy , issue ni content ya wimbo na kwa age gani . Hawa ni watoto wadogo unawaimbia mambo ya kukata viuno, honey etc etc...siyo sawa. Wanao utawaimbia wimbo huo sebulei?...... anyway inawezekana najibizana na vijana wadogo..kwaheri!Kwa kosa lipi!? Kuna kosa gan hapo LA kucheza mziki!!!
😂😂😂Wameyakanyaga leo watajuta, wajinga sana sanaMavi kabisa haoo wao wanafanya makosa chungu nzima ,kazi kuonea vidagaa .Mavi kabisa huyo Waziri.
Yaani Serikali ikulindie maadili ya mtoto wako?Well said. Ukitazama kwenye video yaani ni watoto wote wanaufahamu wimbo na wanauimba mwanzo mwisho. Kama ni kulinda maadili kwa hawa watoto basi serikali ingeanzia kwenye kuhakikisha kwamba nyimbo zisizo na maadili hazipenyi kwenye media na popote kwingine. Pia mtu au taasisi iliyokwenda kufanya jambo lake shuleni walipaswa kujua au kuambiwa na uongozi/mamlaka iliyowapa kibali cha kufanya shughuli yao hapo shuleni kwamba hawapaswi kupiga nyimbo yoyote isiyo na maadili mbele ya watoto. Na kwa mtazamo wangu hata hao walimu wakuu wanaotakiwa kuvuliwa vyeo vyao angalau basi wangepewa onyo tu na siyo kuwavua vyeo baada ya kuteleza kwenye tukio hilo. Ni mara ngapi hata hao mawaziri wameharibu mambo lakini hadi leo bado wapo ofisini?
sawa mkuu nitarekebisha, ila watoto wanatakiwa waachwe wacheze na kufurahi na walimu waoakanyampasila, siyo akanyambasila
Watu wanabisha tu wanajifanya hawaoni huo wimbo hauna maadili kabisa na haufaiFUNKY analogy , issue ni content ya wimbo na kwa age gani . Hawa ni watoto wadogo unawaimbia mambo ya kukata viuno, honey etc etc...siyo sawa. Wanao utawaimbia wimbo huo sebulei?...... anyway inawezekana najibizana na vijana wadogo..kwaheri!
Hii siyo warrant ya kuendekeza nyimbo za ngono mashuleni kwa vile miaka 60 hakuna desks...think deep and make rational judgementWakatekeleze mambo ya msingi.
Miaka 60 ya uhuru ,shule bado watoto wanakaa chini
Ila yapo yanaitana kujadili nyimbo ya Zuchu.
Heri sijapoteza muda kuangalia hayo matamko.Nimeshawatolea povu huko juu mdogo wangu acha tu viongozi mizigo ndo hao na walivyosimama sasa wapo serious na yule maza gwajima poh utasema watu kumbe vilaza tu
Nchi hii sasa hivi tuna mizazi ya hovyo hovyo sana! Hii ndiyo inaona hata watoto kuwa mashoga ni sawa tu maana ndio usasa huo!FUNKY analogy , issue ni content ya wimbo na kwa age gani . Hawa ni watoto wadogo unawaimbia mambo ya kukata viuno, honey etc etc...siyo sawa. Wanao utawaimbia wimbo huo sebulei?...... anyway inawezekana najibizana na vijana wadogo..kwaheri!
Walichukua hatua gani kuzidhibiti?Hii siyo warrant ya kuendekeza nyimbo za ngono mashuleni kwa vile miaka 60 hakuna desks...think deep and make rational judgement
Uliimba nyimbo hizo hizo zipi?Kwa Umri huo Hakuna sense hiyo
Tumesoma shule hizo hizo na tumeimba nyimbo hizohizo
Ni mawazo ngono yetu watu wazima ndiyo yanangonolize watoyo
Unajiamini sana mwalimu si ndiyo...?!Mimi kama mwalimu mzoefu nachelea kusema kuwa waziri kakurupuka,shuleni sio mahali pa kujifunza ya darasani tu,kuna extra curriculum ambayo inajumlisha mambo hayo,huo wimbo wa kawaida sana,wasitake kutufanya walimu tuishi kama panya mashinoni
Kama wazirianaona hii comment imemkela na mimi anifukuze kazi,niko shule ya msingi mpigamiti wilaya ya liwale
wimbo huu haufai kwa watoto. kwanza aliyeutunga ni "malaya" contents zake ni za kimalaya malayaNchi hii sasa hivi tuna mizazi ya hovyo hovyo sana! Hii ndiyo inaona hata watoto kuwa mashoga ni sawa tu maana ndio usasa huo!
Yaani unategemea Dr. Gwajima aje aunge mkono ujinga huo? Tatizo nyie viumbe hamtoi judgement kulingana na contents za wimbo mmekazania tu kwamba watoto walikuwa wanaburudika. Sasa burudani bila kuzingatia maudhui ya wimbo? Waziri yuko sahihi!
makosa ya BASATA kutouzuia siyo warrant ya kuimbwa mashuleni. Unatumia common sense kama mwalimu Mkuu na mzazi. Issue ni audience ipi wimbo huo unaimbwa. Yes shulni si swa maana kule kuna mitaala na wale ni watoto wadogoWalichukua hatua gani kuzidhibiti?
Shuleni si sawa kuweka nyimbo
Ila kwenye ziara za CCM,Zuchu kutumbuiza nyimbo hizohizo ni sawa?