Tunduma: Wakuu wa shule wavuliwa nyadhifa kisa wimbo wa Zuchu (Honey)

Tunaviongozi wavivu wenye fikra duni wanashughurika na matokeo badala ya kudeal na chanzo cha matatizo.

Wimbo umeshatoka na unapigwa kila sehemu hakuna tamko la kukataza wimbo leo unamvua mtu cheo kisa wimbo WFK

Hili Taifa sijui lina watu wa aina gani.
 
Sio kwenye sherehe tu. Sie tuliosoma boarding tulikuwa na muziki na wanaalikwa boys kutoka shule mbalimbali tunacheza pamoja na kufurahi. Miziki ya kila aina ilikuwa inapigwa.
Hawa viongozi si juzi tu walimualika huyu Zuchu na alikuwa anaimba nyimbo hizo hizo uliwemo na huo.

Kwahiyo wao Viongozi,Zuchu kuwaimbia mubashara huu wimbo ni sawa,
Ila watoto kucheza na walimu si sawa?

Kama ni kuwajibika basi waanze kwanza kujiwajibisha.
Kama wanawaondoa walimu vyeo kwa hili tukio,basi na wao wajiondoe..

Ziara za Maadhimisho ya nishati hayana uhusiano wowote na Mambo ya Zuchu kuimba sukari Honey,,
Kama tu ilivyo kwa hao walimu.
 
Kwa Umri huo Hakuna sense hiyo

Tumesoma shule hizo hizo na tumeimba nyimbo hizohizo

Ni mawazo ngono yetu watu wazima ndiyo yanangonolize watoto
Ehh umeimba nyimbo hizo hizo au sio.
 
Sijaona kosa hapo kabisa, kuna muda wa kuburudika kidogo jamani, shule siyo vita, na hao ni watoto so hamna mawazo yoyote mabaya.
 
Safi kabisa. Nchi imepoteza mwelekeo watoto wanafundishwa nyimbo za kijinga kabisa badala ya kufundishwa elimu.
 
Kwani umefungiwa na basata hadi watoto wazuiwe kuserebuka? watoe sababu nyingine tu.
 
Wakirudi mtaani wanaimba na kina Babu sea kabis
Ss hk ndio wanakutan na maadil
 
Dkt. Dorothy Gwajima amempongeza Profesa Mkenda kwa kukemea kitendo hicho na kutoa wito kwa watoa huduma wote na wanaohudumia watoto kusimamia malezi na makuzi ya watoto.
Dkt. Gwajima D
Hivi kweli huwa mnashindwa kulogic mambo madogo kama haya!😀😀 kosa la walimu lipo wapi? Au mlishaona walimu ni sehemu ya kupandia madaraja. Kila maamuzi ya mwanasiasa yapitie kwao

Hiyo nyimbo kuna mtoto nchi hii haijui?
Basata walikuwa wapi kama kunauvunjifu wa maadili kwenye huo wimbo?
Mnaelewa maana ya burudani? Mnataka wapige nyimbo za aina gani kwenye shughuri za sherehe?
Kuna maadili gani yamevunjwa hapo kwenye clip?

Viongozi Ifikie hatua mpime kabla ya kutoa maamuzi! Vile nyinyi mnavyopenda vyeo basi kila mtu anapenda. Walimu hao wasiondolewe kwenye nyazifa zao. Hawana kosa.
 
Na Viongozi na mawaziri wote waliokuwepo wakati Zuchu anatumbuiza waachie ngazi.
 
Your browser is not able to display this video.


Vitu hivi
 
Mkenda kama wewe unawaza ngono si wote wanawaza kama wewe.

Jaribu kuangalia hiyo video katika mtazamo wa burudani.


Na kama kweli unajali sana maadili basi tumbuaneni mawaziri wote mliomualika juzi kati Zuchu akawa anaimba nyimbo hizo hizo tena live huku mkiacha meno yote nje kwa tabasamu.
 
Nyani haoni kundule, mkuu wangu
 
Aisee nilidhani unatania kumbe kweli bhana, tena mwanzoni tu mwa video.. nchi ngumu sana hii..
 
Hawa viongozi Wapuuzi wakubwa tena inaniuma sana nikiskia watoto wadogo wanatafuta hani wao huku mtaani ndio kimenuka achana na shule.Wanazuia sahiz wakati basata wali preview wimbo?Basata walipitishaje huu wimbo
 
Aisee mbona hatari sana, ndio maana niliacha kusikiliza bongofleva[emoji57]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] weee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…