Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Acha tu, nilibaki mdomo wazi wakati naangalia hicho kipande uzuri nilikua peke yangu.... halafu bora kingekua kifupi ila wameweka scene nzima ya verse ya Mbosso iwe hivyoAisee nilidhani unatania kumbe kweli bhana, tena mwanzoni tu mwa video.. nchi ngumu sana hii..
Wimbo upii??Acha tu, nilibaki mdomo wazi wakati naangalia hicho kipande uzuri nilikua peke yangu.... halafu bora kingekua kifupi ila wameweka scene nzima ya verse ya Mbosso iwe hivyo
Whozu umeyatimba ft Mbosso na BillnasWimbo upii??
Nashangaa hapo Wizara ya Elimu imeingia, sijaona Waziri au Katibu Mkuu wa TAMISEMI akisema loloteHizi shule si zipo chini ya Tamisemi.
Nafikiri wewe ndio Mnafiki siujui Huo wimbo ndio kwanza nimeona kwenye hiyo clip.Usifikiri humu Kuna wapuuzi wenzio wanaosikiliza hizo takataka.Kwa Tanzania nyimbo nazosikiliza ni Gospel tu hakuna Cha zaidi.Unamsema zuchu Maudhui yake wakati anayoyaimba ndio unayoyafanya.. unafiki mkubwa
Nimekuelewa sana,hawa batata sijui wapo kwa ajiri gn? Kuna upumbavu mwingi sana unafanyika kwenye nchi hii,lkn mamlaka zipo kimya kbs.Leo nimeona video ya wimbo wa Whozu ft Billnass na Mbosso unaitwa Umeyatimba,
Kipande anachoimba Mbosso kuna sehemu anasema "Nyoooo na Nyokoooo", pia ile video inaonesha anambaka Mwanamke chumbani huku Wanaume wapo sitting room wanashangilia, anampaka hadi mafuta ya nazi....
Nimeshindwa kuelewa mamlaka husika hawajaona haya lakini na hawa wasanii kwanini wanafanya hivi, lengo lao hasa ni nini kutoa nyimbo za namna hii huku wakijua wahanga wakubwa ni watoto na vijana wadogo!??
[emoji1360]Kwa kweli viongozi wa Tanzani ni sufuri brain, hizo nyimbo zimezaga mitaani watoto wanazimba kila siku hajui maanake, kwahiyo wanalikuza ili wawafundishe maana yake?.......kua mualimu ni laana katika nchi hi
cc@Mpwayungu Village na kusapoti saana unamaono
Leo nimeona video ya wimbo wa Whozu ft Billnass na Mbosso unaitwa Umeyatimba,
Kipande anachoimba Mbosso kuna sehemu anasema "Nyoooo na Nyokoooo", pia ile video inaonesha anambaka Mwanamke chumbani huku Wanaume wapo sitting room wanashangilia, anampaka hadi mafuta ya nazi....
Nimeshindwa kuelewa mamlaka husika hawajaona haya lakini na hawa wasanii kwanini wanafanya hivi, lengo lao hasa ni nini kutoa nyimbo za namna hii huku wakijua wahanga wakubwa ni watoto na vijana wadogo!??
Madaraka ya kulevya🤣🤣🤣🤣🤣🪑💺Mmh najaribu kutafakari na kuona kosa la walimu mpaka kuvuliwa nyadhifa zao sioni.
Tujiulize haya!
1.Je kosa ni kurekodiwa na kuwekwa katika social media au
2. Mziki kupigwa maeneo ya shule na watoto kucheza.
3. Je ingekuwa siku ya mahafali ya Darasa la saba na wimbo huo ukapigwa na wanafunzi wakaucheza je mwalimu angevuliwa nyadhifa yake?
Kiukweli tunakemea mmomonyoko wa maadili katika jamii yetu lakini mpaka wimbo umepita basata walichuja wapi na kuona utatumika kwaajili ya wakubwa tu na watoto hawata sikiza wimbo huo?
Watoto wanavyoimba inaonesha wanaujua wimbo tangu awali, this means kwamba kwa siku hiyo tu mwalimu mkuu hajasababisha mmomonyoko wa maadili kwa wanafunzi.
Kumvua cheo mwalimu mkuu ni Kuiambia BASATA kuwa walikosea kuruhusu wimbo huo.
Kwa maoni yangu mwalimu mkuu hana makosa ya kumvua cheo chake.
Yani Kiukweli mawaziri hukurupuka sana katika maamuzi, sijui ni poor kantiri ndo maana na mindset zetu zipo kama hali yetu ya uchumi.
Honeeey.