Vitoto sahv ni kukatikaHII NI SEHEMU YA MASHAIRI YA HUO WIMBO, MWANAO AKIKUIMBIA UTAMUONA MWELEVU?
Japokuwa namchuna
Kang’ang’ana humo humo
Honey wangu akinuna
Namkatia viuno
Zuch watamtumia kwenye kMpeniBadala ya kufungia wimbo wanafukuza waalimu [emoji1005][emoji706]
Kuna haja ya kufanya utafiti tujue kwanini jamii ya vijana na watoto wanapenda nyimbo ambazo hazina maadili. Juzi nilisikia wimbo unapigwa redioni unasema: "Nataka kunya kunya kunya kunyanyua maiki" na watu wakawa wanafurahia nikashangaa sana. kuna tatizo mahali kwenye maadili ya jamii ya kitanzania kwa ujumla. Utafiti ufanyike ili kutafuta chanzo.Leo nimeona video ya wimbo wa Whozu ft Billnass na Mbosso unaitwa Umeyatimba,
Kipande anachoimba Mbosso kuna sehemu anasema "Nyoooo na Nyokoooo", pia ile video inaonesha anambaka Mwanamke chumbani huku Wanaume wapo sitting room wanashangilia, anampaka hadi mafuta ya nazi....
Nimeshindwa kuelewa mamlaka husika hawajaona haya lakini na hawa wasanii kwanini wanafanya hivi, lengo lao hasa ni nini kutoa nyimbo za namna hii huku wakijua wahanga wakubwa ni watoto na vijana wadogo!??
Watoto wamefrah sana, tena ni watoto wadg mbona hili muheshimiw angeliacha lipite tView attachment 2801642
Baada ya kipande cha video kinachowaonesha watoto wa shule za msingi wakicheza wimbo wa msanii Zuchu ‘Honey’ wilayani Tunduma kusambaa mitandaoni, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda ameagiza walimu wakuu wawili wa shule hizo wavuliwe vyeo.
Amesema hayo nje ya Bunge jijini Dodoma wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu video hiyo ambapo pia amepiga marufuku wanafunzi kucheza nyimbo zisizo na maadili na kuwataka walimu kuwa wasimamizi wa maadili pindi wanafunzi wawapo shuleni.
“Tumeshatambua shule yenyewe iko Tunduma, kulikuwa na kikundi kimeenda kutoa msaada shuleni pale, baada ya kutoa msaada ule kikaweka na muziki halafu wanafunzi wakacheza, na maudhui ya muziki wenyewe kila mtu ameusikia sina haja ya kuurudia,” amesema Profesa Mkenda.
Ameongeza, “tumeongea na wadhibiti ubora wapeleke taarifa kule, mkurugenzi awaondoe walimu wakuu wa shule mbili; moja shule ya Tunduma na nyingine ambazo ni kama shule pacha, waondolewe madaraka ya ukuu wa shule watafutwe wakuu wengine wa shule. Tunafanya hivi ili kutuma ujumbe, walimu wakuu tusaidieni msiruhusu vitu kama hivi viingie mashuleni.”
Kwa upande wake Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima amempongeza Profesa Mkenda kwa kukemea kitendo hicho na kutoa wito kwa watoa huduma wote na wanaohudumia watoto kusimamia malezi na makuzi ya watoto.
Eti profesa. Sijaona maamuzi ya kiwango cha uprofesa hapo.Chadema walikuwepo Tunduma
Mbona kwenye mikutano ya CCM Zuchu anaimba Nyimbo hizo hizo na Wanafunzi wanacheza mbele ya Viongozi wa CCM na Serikali?
Msiwaonee Walimu wakuu
Na hiyo video iko free. Kila mtu anaiona. Kesho lawama kwa walimu.Leo nimeona video ya wimbo wa Whozu ft Billnass na Mbosso unaitwa Umeyatimba,
Kipande anachoimba Mbosso kuna sehemu anasema "Nyoooo na Nyokoooo", pia ile video inaonesha anambaka Mwanamke chumbani huku Wanaume wapo sitting room wanashangilia, anampaka hadi mafuta ya nazi....
Nimeshindwa kuelewa mamlaka husika hawajaona haya lakini na hawa wasanii kwanini wanafanya hivi, lengo lao hasa ni nini kutoa nyimbo za namna hii huku wakijua wahanga wakubwa ni watoto na vijana wadogo!??
Wazaz wenyew na kuna watu wanapenda...humu kwenye unaonaManyimbo ya waabudu mashetani yanapandikizwa kwa watoto wadogo kabisa.
Wanatafuta views u tube kule. Mziki una ushenzi mwingi saanaLeo nimeona video ya wimbo wa Whozu ft Billnass na Mbosso unaitwa Umeyatimba,
Kipande anachoimba Mbosso kuna sehemu anasema "Nyoooo na Nyokoooo", pia ile video inaonesha anambaka Mwanamke chumbani huku Wanaume wapo sitting room wanashangilia, anampaka hadi mafuta ya nazi....
Nimeshindwa kuelewa mamlaka husika hawajaona haya lakini na hawa wasanii kwanini wanafanya hivi, lengo lao hasa ni nini kutoa nyimbo za namna hii huku wakijua wahanga wakubwa ni watoto na vijana wadogo!??
Kwa yote waliyosema na kuamua ingekua poa saana hao wanasiasa wakacha kuwatumia hawa wasanii waimba matusi kwenye mambo yao ya kisiasa yote. Kwenye siasa wanawatumia na kuwapongeza kwa huo ujinga wanaoimba ila hapo waalimu wamekula adhabu kwa kitu ambacho mamlaka imeruhusu yenyeweView attachment 2801642
Baada ya kipande cha video kinachowaonesha watoto wa shule za msingi wakicheza wimbo wa msanii Zuchu ‘Honey’ wilayani Tunduma kusambaa mitandaoni, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda ameagiza walimu wakuu wawili wa shule hizo wavuliwe vyeo.
Amesema hayo nje ya Bunge jijini Dodoma wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu video hiyo ambapo pia amepiga marufuku wanafunzi kucheza nyimbo zisizo na maadili na kuwataka walimu kuwa wasimamizi wa maadili pindi wanafunzi wawapo shuleni.
“Tumeshatambua shule yenyewe iko Tunduma, kulikuwa na kikundi kimeenda kutoa msaada shuleni pale, baada ya kutoa msaada ule kikaweka na muziki halafu wanafunzi wakacheza, na maudhui ya muziki wenyewe kila mtu ameusikia sina haja ya kuurudia,” amesema Profesa Mkenda.
Ameongeza, “tumeongea na wadhibiti ubora wapeleke taarifa kule, mkurugenzi awaondoe walimu wakuu wa shule mbili; moja shule ya Tunduma na nyingine ambazo ni kama shule pacha, waondolewe madaraka ya ukuu wa shule watafutwe wakuu wengine wa shule. Tunafanya hivi ili kutuma ujumbe, walimu wakuu tusaidieni msiruhusu vitu kama hivi viingie mashuleni.”
Kwa upande wake Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima amempongeza Profesa Mkenda kwa kukemea kitendo hicho na kutoa wito kwa watoa huduma wote na wanaohudumia watoto kusimamia malezi na makuzi ya watoto.
Vodacom nao wana tangazo lao, "Maisha ni kutoooooo...", kutoa nini sijui, "Maisha ni kufiiiiiii..." kufikiwa nini sijui,Kuna haja ya kufanya utafiti tujue kwanini jamii ya vijana na watoto wanapenda nyimbo ambazo hazina maadili. Juzi nilisikia wimbo unapigwa redioni unasema: "Nataka kunya kunya kunya kunyanyua maiki" na watu wakawa wanafurahia nikashangaa sana. kuna tatizo mahali kwenye maadili ya jamii ya kitanzania kwa ujumla. Utafiti ufanyike ili kutafuta chanzo.
Wakuu kutokujitambua....honey ya nini hapo sasa
Shule ya msingi = Mwalimu MkuuView attachment 2801642
Baada ya kipande cha video kinachowaonesha watoto wa shule za msingi wakicheza wimbo wa msanii Zuchu ‘Honey’ wilayani Tunduma kusambaa mitandaoni, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda ameagiza walimu wakuu wawili wa shule hizo wavuliwe vyeo.
Amesema hayo nje ya Bunge jijini Dodoma wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu video hiyo ambapo pia amepiga marufuku wanafunzi kucheza nyimbo zisizo na maadili na kuwataka walimu kuwa wasimamizi wa maadili pindi wanafunzi wawapo shuleni.
“Tumeshatambua shule yenyewe iko Tunduma, kulikuwa na kikundi kimeenda kutoa msaada shuleni pale, baada ya kutoa msaada ule kikaweka na muziki halafu wanafunzi wakacheza, na maudhui ya muziki wenyewe kila mtu ameusikia sina haja ya kuurudia,” amesema Profesa Mkenda.
Ameongeza, “tumeongea na wadhibiti ubora wapeleke taarifa kule, mkurugenzi awaondoe walimu wakuu wa shule mbili; moja shule ya Tunduma na nyingine ambazo ni kama shule pacha, waondolewe madaraka ya ukuu wa shule watafutwe wakuu wengine wa shule. Tunafanya hivi ili kutuma ujumbe, walimu wakuu tusaidieni msiruhusu vitu kama hivi viingie mashuleni.”
Kwa upande wake Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima amempongeza Profesa Mkenda kwa kukemea kitendo hicho na kutoa wito kwa watoa huduma wote na wanaohudumia watoto kusimamia malezi na makuzi ya watoto.
Watoto wanajua vibe lakeHONEEEEEEEY honey hiki kiwimbo ni aibu kuimba mbele za watu lakini ni kizuri sana...
Walimualika akawaburudishe ziaraniZuchu sijui Chuchu ni mwanaccm wameshindwa kufungia wimbo wake wanaenda kuwavua walimu vyeo.
Mbona kuna majizi ya pesa za umma hayavuliwi vyeo ndio kwanza yanaitwa waheshimiwa.