Tunduma: Wakuu wa shule wavuliwa nyadhifa kisa wimbo wa Zuchu (Honey)

Uonevu tu, mbona vitoto vinarukaruka tu,wala havijui nini wamaimba [emoji24][emoji24][emoji1787][emoji1787]
 
Mihemuko tu, Nchi ya kichawa chawa tu[emoji24]nyimbo yenyewe imekaa kitoto toto [emoji1787]
 
Wanatafuta kutirendiiiiiii huku wasijue kuna watoto. Hichi kizazi cha Zuchu kuna kazi ya ziada.
 
Mpigamiti hauko pekeyako au afukuze wote?
 
Halafu kwenye kampeni za CCM ni nyimbo hizo hizo zitatumika kukusanya watu, yaani vitu vingine vinachekesha kweli walimu wanateseka sana nchi hii mara wachapwe, wakimbizwe kama watoto, wafanywe masanamu km hivi nao wameinama tu kama makondoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…