Ukate miti milioni mbili halafu umuombe Mungu akuletee mvua? Serious?

Eti Wafilisti wamekusanyana wao kwa wao eti waombe!
 
Mbona Dubai na saudi arabia hawana shira ya maji na ni jangwa?
Ukiufahamu mfumo wa dunia unavyofanya kazi utajidharau sana kwa hili swali. Mipaka tunayo binadamu, dunia kama dunia kiasili haina mipaka kuwa huku ni dubai na kule ni congo. Ukikata msitu wote wa congo na amazon dunia nzima tutakuwa in Hell.
 
Kuna watu wana maswali ya ajabu ila kila mmoja ana ukomo wa kufikiri
 
Kipindi cha kikwete napo miti milion mbili ilikatwa?! Matako kazi yake ni kukalia....
 
Serikali ya awamu ya 5 ilipotaka kuanza ujenzi wa bwawa la umeme la Julius Nyerere, ililazimika kukata miti milioni mbili katika hifadhi ya Selous.

Na sasa nchi nzima tunalia kuhusu maji na umeme unaosababishwa na uhaba wa mvua! Je wakati serikali ya awamu ya 5 inachukua hatua ya kukata miti hiyo, haikujua kuwa kutukuwa na madhara? Mwana kulitafuta mwana kulipata

 
kwani miaka ya 20015 kurudi nyuma ukame haukujitokeza..achaneni na mawazo mgando..sqsa ulitaka bwawa lijenge hewani.
 
Miti mingapi hukatwa katika nchi hii kila mwaka katika kuanzisha mashamba mapya, kutengeneza mkaa na kuni za kuchoma matofali?! Bila shaka ni zaidi ya milioni 2, lakini thread kama hii hazianzishwi. Ujinga mwingine bana. Mleta mada ni mzigo.
 
Kuna mabilioni mangapi ya miti yameshakatwa kwenye msitu wa amazon na bado mvua zinaendelea kunyesha south america, mbona mnashadadia mambo kwa hoja za hovyo namna hii........kwa hiyo miti milioni mbili iliyokatwa hapo rufiji ndo imeikosesha mvua nchi nzima.​
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…