Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,718
- 3,465
hili lipo toka enzi na enzi, hata kwa Mungu hakuna usawa,hata Yesu aliwahaidi pepo wale jamaa aliosurubiwa nao, utauliza kwanini wale aliwakubalia kuwa nao katika ufalme wa mbinguni huku akiacha wengine wajipiganie wao ?
hata Mungu alimsifu Ayubu,je watu wengine wangelalamika kwanini hajawasifu ?
Hii naona kama ubaguzi mbona aliokuwa naibu waziri Wa nishati na madini pia Mkuu Wa wilaya mbalimbali nchini bila kusaha mbunge Wa kigoma kusini hali yake mbaya mgonjwa serekali hawaendi kumuona wala nini wamemtelekeza wanasubiri afe wamsifie nakumpamba kwakuwa hatokuwa na uwezo wakuwajibu au kwakuwa alitetea mahakama ya kadhi ?Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema kuanzia sasa Serikali itagharamia matibabu ya aliyekuwa Mbunge wa Mikumi Joseph Haule Profesa J anayetibiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili hadi hapo atakaporuhusiwa kurudi nyumbani.
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu alipofika Muhimbili leo kumjulia hali Msanii huyo.
Pia soma:
Tumuombee sana Profesa J
Mke wa Profesa Jay afunguka, familia yaomba msaada wa matibabu
Umeshasema makapuku.hivi huoni hata kwenye msafara wa rais makapuku hawathaminiwi??Jambo jema sana, serikali iwaone na makapuku wengine wanaokufa kwa maumivu sana kwa kukosa support ya matibabu.
#HAKIKWAWOTE.
Nani huyo Mkuu Kwa jina?Hii naona kama ubaguzi mbona aliokuwa naibu waziri Wa nishati na madini pia Mkuu Wa wilaya mbalimbali nchini bila kusaha mbunge Wa kigoma kusini hali yake mbaya mgonjwa serekali hawaendi kumuona wala nini wamemtelekeza wanasubiri afe wamsifie nakumpamba kwakuwa hatokuwa na uwezo wakuwajibu au kwakuwa alitetea mahakama ya kadhi ?
Ni unafiki tu hakuna chochote huyo wasanii na wanasiasa wenzako wako tayari kumtibu tunataka serikali itowe matibabu kwa watu wote bila ya kuangalia wasfu wa mtu tunataka universal health care kuanzia maradhi madogo mpaka makubwa.
Wanasiasa na fursa za kutafuta popularity.
Hapo hapo MNH kutakuwa na wagonjwa makapuku kwelikweli wanashindwa kufanya dialysis kwa kukosa tu fedha but no one will care,lakini kwa mtu maarufu huyu ambaye kashaanza kuomba michango kwa umma serikali inasema italipia full,so michango i-stop.
Huyu siwezi kumtaja kwasababu hajanituma nawala hanijui lakini nikwambie tu aliwahi kuwa naibu waziri Wa nishati awam ya 3 baadae Mkuu wa wilaya tofauti akitokea kigoma kusini kwasasa uvinza ccm wanamtambua vizuri amewahi kutetea mahakama yakadhi nadhani hii ndio ilikuwa Zambi yake kubwa na kuchukiwa kwa uaminifu Hanna mfano wakumzidi ni mitume tuNani huyo Mkuu Kwa jina?
Sasa kama analipiwa na serikali mil 22 za nini tena?Angalia sasa!Ukisikia kunywa uji wa mgonjwa ndiyo huku.Hauna tofauti na aliyegoma kuwapa waathirika wa tetemeko fedha walizochangiwa na jamii kwa hiyari kwa visingizio hewa.
Zilichangwa kwa ajili gani?Kwa ajili ya mgonjwa.Vema.Ziende zilipokusudiwa.Sasa kama analipiwa na serikali mil 22 za nini tena?
Utani umetoka wapi? Kamanda wa Ccm baba yako.kwani halipiwi na serikali?Acha ujinga wewe,kamanda wa ccm,usiwe unaleta utani kwenye mambo ya uhai wa mtu pumbavvu
Mtoto wako akinunuliwa zawadi ya nguo na shangazi yake kwa hiyo zile nguo zake zote za zamani utazichoma moto?Utani umetoka wapi? Kamanda wa Ccm baba yako.kwani halipiwi na serikali?
Achana na bwabwa hiloMtoto wako akinunuliwa zawadi ya nguo na shangazi yake kwa hiyo zile nguo zake zote za zamani utazichoma moto?
Una mambo ya kishogga sana unamuonea wivu hadi mgonjwa kuchangiwa,ugua wewe basi tukuchangie.hujui kama jamaa ana familia inamtegemea utailisha wewe,stupidUtani umetoka wapi? Kamanda wa Ccm baba yako.kwani halipiwi na serikali?
Kwani tulichanga kulisha familia ya mgonjwa?Una mambo ya kishogga sana unamuonea wivu hadi mgonjwa kuchangiwa,ugua wewe basi tukuchangie.hujui kama jamaa ana familia inamtegemea utailisha wewe,stupid
Ni mgonjwa na familia.Na familia,kwa sababu ndiyo watakaopokea michango.Ndiyo wanaomtunza.Kwani tulichanga kulisha familia ya mgonjwa?