daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,127
- 3,062
Ametumikia wananchi kwa muda mrefuNa Watanzania wengine walio wagonjwa watagharamiwa na nani?
Kwanza kwa nini agharamiwe na serikali? Ni mtumishi wa serikali kwani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ametumikia wananchi kwa muda mrefuNa Watanzania wengine walio wagonjwa watagharamiwa na nani?
Kwanza kwa nini agharamiwe na serikali? Ni mtumishi wa serikali kwani?
Ni jambo jema lakini vipi maelfu wanaokufa wakikosa pesa za kutibu wapendwa wao hata kiasi kidogo tu.Na Watanzania wengine walio wagonjwa watagharamiwa na nani?
Kwanza kwa nini agharamiwe na serikali? Ni mtumishi wa serikali kwani?
HuYu alikuwa Kiongozi na mwakilishi Rasmi wa Wananchi kwa miaka 5. Alifanya Mengi kwa maendeleo ya Wananchi wa Jimbo lake.(Mbunge).
Bahati ya mwenzio usimuonee wivu! Kumbuka alikuwa Mbunge na pia ni maarufu nchini!Na Watanzania wengine walio wagonjwa watagharamiwa na nani?
Kwanza kwa nini agharamiwe na serikali? Ni mtumishi wa serikali kwani?
Bima ni muhimu sana . Nilisikia anafanya dialysis ambayo ni expensive sana na ni matibabu yanaendelea mpaka upate figo nyingine. Hata kama una pesa kutumia Tsh 2M kwa matibabu kila mwezi ni pesa nyingi sana kama hauingizi pesaWaziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema kuanzia sasa Serikali itagharamia matibabu ya aliyekuwa Mbunge wa Mikumi Joseph Haule Profesa J anayetibiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili hadi hapo atakaporuhusiwa kurudi nyumbani...
Kuna watu wanakufa kwa kukosa elfu 10 tu ya dawahii sio sawa, anatibiwa kama nani..
gharama za wagonjwa wengine hapo muhimbili wasio na mbele wala nyuma nazo Serikali itazibeba? tuwe serious kidogo.
Nongwa kivipi? kuna ambao hawajiwezi zaidi kifedha, serikali ipo wapi?Watanzania hatuna jema kwa kweli, kama hadi hili la Prof J kusaidiwa inakuwa nongwa?
Jambo lililo jema zaidi ni kutowasahau na Watanzania wengine wasio na majina/ maarufu.Watanzania hatuna jema kwa kweli, kama hadi hili la Prof J kusaidiwa inakuwa nongwa?
Watumishi waliostaafu wanatibiwa kwa kutumia bima za afya walizopata wakiwa kazini.utumishi wake, ulikoma na akalipwa mafao yake labda kama kuna deni anaidai serikali..
kwahiyo na makampuni yaanze kuhudimia watumishi wake waliotoka kazini?
Na alilipwa mahela mengi sana…mamia ya mamilioni ya shilingi!HuYu alikuwa Kiongozi na mwakilishi Rasmi wa Wananchi kwa miaka 5. Alifanya Mengi kwa maendeleo ya Wananchi wa Jimbo lake.(Mbunge).
Si sawa ndiyo sababu wananchi wanaitaka serikali kutoa bima ya afya kwa wote.Jambo lililo jema zaidi ni kutowasahau na Watanzania wengine wasio na majina/ maarufu.
Au wao sawa tu wakiachwa wajigharamie matibabu yao wenyewe?
Watumishi waliostaafu wanatibiwa kwa kutumia bima za afya walizopata wakiwa kazini.
Unafiki wa serikali ya CCM, mbona walishindwa kugharamia matibabu ya kisheria na kikatiba ya lissu walipojaribu kumuua akiwa bado mbunge!Habari kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili zinasema Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema serikali itagharimia matibabu ya mwanamziki maarufu wa kizazi kipya ambaye pia alikuwa Mbunge wa Mikumi Bw. Haule, a.k.a Prof. J aliyelazwa katika Hospitali hiyo. Hayo yameandikwa katika mtandao wa jamii wa Twitter.
Pongezi kwa serikali kwa kuwaenzi viongozi wetu.
Nchi ngumu sana hiiUnafiki wa serikali ya CCM, mbona walishindwa kugharamia matibabu ya kisheria na kikatiba ya lissu walipojaribu kumuua akiwa bado mbunge!
Muongo huyo, bima huwa ibakatwa kwenye mshahara. Ukistaafu wanakata kwenye nini? Ukistaafu na bima nayo inastaafu.labda huko serikalini, sekta binafsi ukistaafu muajiri amemalizana na wewe labda ujikatie mwenyewe hiyo bima....