Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Ni vyema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema mmefungiwa mlango wa upigaji, mlianza kuchangisha muibeNa Watanzania wengine walio wagonjwa watagharamiwa na nani?
Kwanza kwa nini agharamiwe na serikali? Ni mtumishi wa serikali kwani?
Lissu alipopigwa Risasi Rais Samia alikwenda kumtembelea hospital Nairobi, Prof Jay anaugua serikali inalipa Fadhila kwa kugharamia matibabu yake. Samia ana Upendo sana.SERIKALI INAYOONGOZWA NA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KUGHARAMIA MATIBABU YA JOSEPH HAULE (PROF JAY)
Huu ni mwezi wa Upendo, kaka yetu na rafiki yetu Prof Jay amelala kitandani sasa akipigania uhai wake. Licha ya kuwa msanii wa Hip Hop aliyejengea sanaa ya muziki Bongo katika sekta zenye kuingiza kipato kwa Vijana wengi, lakini Prof Jay alikuwa mwanasiasa wa Upinzani hii haitoshi kumfanya awe adui kwenye mlengo tofauti wa kisiasa. Rais Samia ameonyesha upendo kwa kuiongoza serikali kugharamia matibabu ya Prof Jay.... Hakika Tanzania itajengwa na Vijana wenye upendo. #mamayukokazini
View attachment 2116240
Na hapo ndipo shida ilipo kama nachangia Kila mwezi lakin nikipata ugonjwa mzito kama huu sisaidiwi hiyo bima ni ya nini?Mkuu , ukiugua figo , bima haisaidii
Ni mwananchi yupi ambaye hafanyi maendeleo kw taifa hili?HuYu alikuwa Kiongozi na mwakilishi Rasmi wa Wananchi kwa miaka 5. Alifanya Mengi kwa maendeleo ya Wananchi wa Jimbo lake.(Mbunge).
Mambo mengi anafanya vizuri, isipokuwa kesi ya Mbowe na kakataa katiba mpya ya wananchi. Huku yeye akiwa makamo mwenyekiti wa bunge la katiba !!SERIKALI INAYOONGOZWA NA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KUGHARAMIA MATIBABU YA JOSEPH HAULE (PROF JAY)
Huu ni mwezi wa Upendo, kaka yetu na rafiki yetu Prof Jay amelala kitandani sasa akipigania uhai wake. Licha ya kuwa msanii wa Hip Hop aliyejengea sanaa ya muziki Bongo katika sekta zenye kuingiza kipato kwa Vijana wengi, lakini Prof Jay alikuwa mwanasiasa wa Upinzani hii haitoshi kumfanya awe adui kwenye mlengo tofauti wa kisiasa. Rais Samia ameonyesha upendo kwa kuiongoza serikali kugharamia matibabu ya Prof Jay.... Hakika Tanzania itajengwa na Vijana wenye upendo. #mamayukokazini
View attachment 2116240
Tuna taka kumuona Mbowe akiwa huru keshoooooooSERIKALI INAYOONGOZWA NA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KUGHARAMIA MATIBABU YA JOSEPH HAULE (PROF JAY)
Huu ni mwezi wa Upendo, kaka yetu na rafiki yetu Prof Jay amelala kitandani sasa akipigania uhai wake. Licha ya kuwa msanii wa Hip Hop aliyejengea sanaa ya muziki Bongo katika sekta zenye kuingiza kipato kwa Vijana wengi, lakini Prof Jay alikuwa mwanasiasa wa Upinzani hii haitoshi kumfanya awe adui kwenye mlengo tofauti wa kisiasa. Rais Samia ameonyesha upendo kwa kuiongoza serikali kugharamia matibabu ya Prof Jay.... Hakika Tanzania itajengwa na Vijana wenye upendo. #mamayukokazini
View attachment 2116240
Ni maamuzi mazuri ingawa italeta maswali kwa jamii nyingine, ila ni vizuri zaidi kuwepo na sera ya ujamaa katika kupata matibabu kwa watu wote.
Mkuu hakuna mtu aliyepanik ila issue ni kwamba Kuna watanzania wengi wa Hali ya chini Wana matatizo kama haya ambao hawana msaada kabisa hivyo basi kama serikali imeweza kumsaidia Prof J maana yake inakiri kwamba sera yetu ya afya haiko vizuri kwani kwa wasio na wakuwasemea ni kufa tu.Kuna watu wamepanic jamaa kutibiwa na serikali
Ni Mama yetu sote. Nampenda sana. Mungu ambariki sana.Lissu alipopigwa Risasi Rais Samia alikwenda kumtembelea hospital Nairobi, Prof Jay anaugua serikali inalipa Fadhila kwa kugharamia matibabu yake. Samia ana Upendo sana.
Hujawajua Ccm Tu Mpaka HapoNa Watanzania wengine walio wagonjwa watagharamiwa na nani?
Kwanza kwa nini agharamiwe na serikali? Ni mtumishi wa serikali kwani?
Kanywe naye chai, in Nyerere’s voice.Hao makapuko ndo waliomkataa Lisu na sera yake ya bima ya afya kwa kila mtz 2020. Kupanga ni kuchagua
Chama DollarCCM inakaba kila kona!
Wewe nawe ulichagua uwanja wa ndege chato?Kanywe naye chai, in Nyerere’s voice.
Mkuu ugonjwa wa muda mrefu hela zinaisha kabisa kumbuka hapo huenda ameanza kuugua muda tu akijitibu mwenyewe.Mtu alikuwa mbunge kwa miaka 5 hana uwekezaji wa kulipa gharama za matibabu!!!!! Pathetic. I remember they received gratuity in the region of 300m/= tax exempted. Inafikirisha