DALA
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,256
- 4,647
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema kuanzia sasa Serikali itagharamia matibabu ya aliyekuwa Mbunge wa Mikumi Joseph Haule Profesa J anayetibiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili hadi hapo atakaporuhusiwa kurudi nyumbani.
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu alipofika Muhimbili leo kumjulia hali Msanii huyo.
Pia soma:
Tumuombee sana Profesa J
Mke wa Profesa Jay afunguka, familia yaomba msaada wa matibabu
Huku ni kudhalilishana. Kama taifa tungekuwa na serikali ya kueleweka, huduma muhimu kama za afya na elimu ingekuwa bure kwa watu wote. Hatungekuwa na huu ujinga wa kudhalilishana nanma hii.