Mwingereza
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 1,115
- 2,771
Mama, basi muhache Mbowe awe huru !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeandika lugha ganiZa kuchangia mawakili wamtoe mtu, mahabusu zinapatikana,
Lakini za kuchanga matibabu apate mtu, watu wa chama mashati washikana,
Chama cha mgonjwa cha "watu", ukitaja mgonjwa mwapishana,
Heko Mheshimiwa Ummy Mwalimu, utu wa mtu kuupambania.
Huyo ni miongoni mwa watanzania wengine unao wasemaNa Watanzania wengine walio wagonjwa watagharamiwa na nani?
Kwanza kwa nini agharamiwe na serikali? Ni mtumishi wa serikali kwani?
Na Watanzania wengine walio wagonjwa watagharamiwa na nani?
Kwanza kwa nini agharamiwe na serikali? Ni mtumishi wa serikali kwani?
Shamefully what?Ova, it was shamefully
Huyo hakustahili kwani kapata kiinua mgongo mwaka juzi tuWatanzania hatuna jema kwa kweli, kama hadi hili la Prof J kusaidiwa inakuwa nongwa?
Shangaa mkuu!Na Watanzania wengine walio wagonjwa watagharamiwa na nani?
Kwanza kwa nini agharamiwe na serikali? Ni mtumishi wa serikali kwani?
Kila kitu kina wakati wake.Mambo mengi anafanya vizuri, isipokuwa kesi ya Mbowe na kakataa katiba mpya ya wananchi. Huku yeye akiwa makamo mwenyekiti wa bunge la katiba !!
Huyo hakustahili kwani kapata kiinua mgongo mwaka juzi tu
Watu Wana wivu sana dah. Kwa hiyo asitibiwe kisa alikuwa mbunge wa awamu moja ?Mkuu jamaa nayeye si anamajukumu kadhaa,, kwani ukipata kiinua mgongo ndio hela itakaa tu..
Gharama za matibabu yake ni kubwa sana.
Watanzania hatuna jema kwa kweli, kama hadi hili la Prof J kusaidiwa inakuwa nongwa?