CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,840
- 15,918
Wanafanya hivyo, wengi hutibiwa na serikali hasa magonjwa makubwa kama MOYO nk. Ushawahi ona watoto wenye MOYO mkubwa kujigharamia matibabu yao?Serikali sasa ianze kulipia gharama za kila mtanzania asiye na uwezo akiugua...