Ummy Mwalimu: Kuanzia sasa matibabu ya Joseph Haule(Prof. Jay) yatagharamiwa na Serikali
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema kuanzia sasa Serikali itagharamia matibabu ya aliyekuwa Mbunge wa Mikumi Joseph Haule Profesa J anayetibiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili hadi hapo atakaporuhusiwa kurudi nyumbani.

Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu alipofika Muhimbili leo kumjulia hali Msanii huyo.



Pia soma:
Tumuombee sana Profesa J
Mke wa Profesa Jay afunguka, familia yaomba msaada wa matibabu
Hongera serikali yetu,maana huu utamaduni ndio tulio uzoea watanzania.sijui kwa lissu tuliteleza wapi,hongera mh rais kwa Hili pia .God bless.
 
Ukisikia ule msemo wenye akili hawana power na wenye power hawana akili ndio hiii.

Hivi Serikali inawezaje kutoa statement kama hiyo mbele ya jamii-bora wangemlipia kimya kimya.
Tuna viongozi ambao hawatumii akili kabisa,by the way sisi Wananchi ndio matahira kabisa -acha mambo yaende.
 
Bima ni muhimu sana . Nilisikia anafanya dialysis ambayo ni expensive sana na ni matibabu yanaendelea mpaka upate figo nyingine. Hata kama una pesa kutumia Tsh 2M kwa matibabu kila mwezi ni pesa nyingi sana kama hauingizi pesa
Kwani Nchi nzima anayefanyiwa hiyo analysis I ni Prof.Jay tu-kuna mamia ya wagonjwa wa figo wanakufa Muhimbili& Benjamin Mkapa kwa kukosa fedha za kufanya dialysis
 
Hongera serikali yetu,maana huu utamaduni ndio tulio uzoea watanzania.sijui kwa lissu tuliteleza wapi,hongera mh rais kwa Hili pia .God bless.
Unapaswa utumie ubongo vizuri.
Prof Jay yupo Tz Muhimbili na kufika hapo kafuata hatua zote.
Lissu alienda Dodoma hospital na alitibiwa vizuri tu, serikali ikashauri ahamishiwe Muhimbili kwa matibabu zaidi, Kama kawaida hoyahoya wa chadema wakakataa wakamkimbiza Nairobi, na wakampeleka tena ubelgiji.
Sasa hapo utailaumu serikali?
Mfano hata huyi Prof jay angeenda kutibiwa Marekani unafikiri serikali ingekuwa na mpango nae?
 
Wanafanya hivyo, wengi hutibiwa na serikali hasa magonjwa makubwa kama MOYO nk. Ushawahi ona watoto wenye MOYO mkubwa kujigharamia matibabu yao?
Ugonjwa ni moyo tu? Kwa nini isiwe kwa magonjwa yote na kwa watu wote?
 
Watanzania walivyo wapumbavu watashangilia na kuruka ruka huku wakibinua makalio kana kwamba waziri ametatua changamoto ya afya kitaifa.

Jiulize wewe, mtoto au mzazi au ndugu yako akiumwa atapata hiyo favour?au ni wale waliokula keki ya taifa wanaipata hiyo neema peke yao?

Tunahitaji kupaza sauti juu ya bima ya afya kwa kila raia wa Nchi hii. Ni heri tutumie fedha kuhudumia afya ya za wananchi wetu huku wakiwa wanapita kwenye barabara zenye foleni kuliko kuwapitisha kwenye flyover wakiwa ndani ya jeneza.
Tozo tu watu wana lalamika itakua kulipia bima au unamaanisha serikali ilipie bima? Kitu ambacho hakipo
 
Ni jambo jema lakini vipi maelfu wanaokufa wakikosa pesa za kutibu wapendwa wao hata kiasi kidogo tu.
Ni wakati muafaka Gvt kuanzisha universal medical insurance covers kwa wananchi wasio na uwezo sio kutoa msaada kwa wachache sana maarufu ambao wanaweza kuchangiwa hata na vikundi na watu walikaribu nao.
Marekani wameshindwa ndio sisi? Ni nchi chache sana zenye uwezo na zenye watu wachache ndio zime weza nadhani moja wapo ni Netherlands
 
Muongo huyo, bima huwa ibakatwa kwenye mshahara. Ukistaafu wanakata kwenye nini? Ukistaafu na bima nayo inastaafu.
Jana yuko sahihi labda kama haikuwahi kutekelezwa lakini ilikuwa hivyo tena na mwenza wako.
 
Kwani Nchi nzima anayefanyiwa hiyo analysis I ni Prof.Jay tu-kuna mamia ya wagonjwa wa figo wanakufa Muhimbili& Benjamin Mkapa kwa kukosa fedha za kufanya dialysis


Hapana mimi sipo hapa kumtetea mtu bali kueleza sababu za kuomba msaada maana watu wengi hawajui gharama. Muhimu ni kuwa na bima. Lakini sita shangaa kama alipata covid ikaharibu figo. Nashauri watu wachanje
 
Ahsante sana serikali yetu chini ya mama Samia kwa kubeba gharama za matibabu za Prof Jay
 
Watanzania walivyo wapumbavu watashangilia na kuruka ruka huku wakibinua makalio kana kwamba waziri ametatua changamoto ya afya kitaifa.

Jiulize wewe, mtoto au mzazi au ndugu yako akiumwa atapata hiyo favour?au ni wale waliokula keki ya taifa wanaipata hiyo neema peke yao?

Tunahitaji kupaza sauti juu ya bima ya afya kwa kila raia wa Nchi hii. Ni heri tutumie fedha kuhudumia afya ya za wananchi wetu huku wakiwa wanapita kwenye barabara zenye foleni kuliko kuwapitisha kwenye flyover wakiwa ndani ya jeneza.
Kama wewe ni mtanzania mpumbavu usitujumuishe na tusio wapumbavu, wewe na hao wapumbavu wenzako rukeni rukeni mbinue makalio.
Pumbavu Sana.
 
Huu uongo huwa unawasaidia nini? Bima inacover pale tu inapolipiwa
Ni sawa na umekata bima ya gari kwa miaka 10 alafu mwaka wa 11 hujakata alafu ukipata ajali unataka bima ikulipe kisa tu kwa miaka 10 ulikua unachangia?
Nchi Ina watu hii, suala dogo Kama hili tu watu hawaelewi na ndio tunatakaa sijui Tanzania ya viwanda
Usilinganishe bima ya afya na magari. Bima ya afya unalipa kila mwezi tena kwa asilimia maalum ya mishahara.

Na hiyo habari ya wastahafu na wenza wao kunufaika na huduma ya NHIF ni wao wenyewe ndio waliokuwa wanawaambia wanachama wao.
 
Bima ni muhimu sana . Nilisikia anafanya dialysis ambayo ni expensive sana na ni matibabu yanaendelea mpaka upate figo nyingine. Hata kama una pesa kutumia Tsh 2M kwa matibabu kila mwezi ni pesa nyingi sana kama hauingizi pesa
Nitashangaa sana kama former Mbunge hakuwa na bima ya afya, tena iliyo na coverage bora. Unless bima yake ya afya ilikoma pale tu alipomaliza ubunge wake. Mambo ya matibabu ya figo ikiwemo kufanyiwa dialysis nadhani covered na bima ya afya Tanzania. Au hizi health insurance companies wanachukulia ugonjwa wake kuwa ni pre-existing condition, na hivyo kutotibiwa kwa bima? maana kuna makampuni mengine ya bima yana huo mchezo. Namtakia mgonjwa apone haraka
 
Back
Top Bottom