Utiaji saini Mkataba wa Tanzania na DP World: Mkataba utakuwa wa miaka 30 na utendaji kazi wake utapimwa kila baada ya miaka 5 na sio miaka 100
Tumechelewa sana nasema tumechelewa sana. Hongera rais Samia
namshukuru kwamba amerekebisha vipengele, amesiikiliza ushauri na sauti ya watanzania. lakini, sioni kama ana strength za kutosha, kwanza ilikuweje akataka kuiiingiza nchi kwenye msala wa mkataba kama ule bila kugundua, manake washauri wake hana na sijaona kama amewachukulia hatua. hapo hatuwezi kusema ni strong. ingekuwa nchi za wenzetu alikuwa anatakiwa ajiuzulu mara moja kwasababu udhaifu wake umeonekana waziwazi na hana hata cha kujivunia kwenye mkataba huo, asije kuja kusema yeye ndiye alisaidia uwekezaji, watanzania ndio wamesaidia, yeye alikuwa anatupeleka shimoni kina mwabukusi wakatukomboa kwa msaada wa Mungu.
 
Ndugu wabongo land.

Suala la bandari ni suala la maendeleo ya nchi .

Lkn kuna imani moja hapa imegeuza kuwa suala la dini.

Hio imani kila siku ina mitume wapya wa kila kabila.

Wanadai wanaongea na Mungu.

Jamani msituletee nuksi kwenye nchi yetu.

Nyie endeleeeni kuwapa utume na unabii mnaowataka lkn msituharibie nchi.

Siku kikiwaka nawahakikishia nyie ndio mtakuwa wa kwanza kupanda both kukimbia nchi manake midomo mirefu hali ya kuwa nafsi zenu zinajua kabisa huko kwenu ni usanii mtupu.
 
Ndugu wabongo land.

Suala la bandari ni suala la maendeleo ya nchi .

Lkn kuna imani moja hapa imegeuza kuwa suala la dini.

Hio imani kila siku ina mitume wapya wa kila kabila.

Wanadai wanaongea na Mungu.

Jamani msituletee nuksi kwenye nchi yetu.

Nyie endeleeeni kuwapa utume na unabii mnaowataka lkn msituharibie nchi.

Siku kikiwaka nawahakikishia nyie ndio mtakuwa wa kwanza kupanda both kukimbia nchi manake midomo mirefu hali ya kuwa nafsi zenu zinajua kabisa huko kwenu ni usanii mtupu.
kichwa chako kimejaa kamasi. kama tusingesema nchi ilikuwa inaingia shimoni. hata Mh. Rais amekubaliana na sisi akaondoa vipengele vyote tata tulivyotaka viondoke, lakini wewe kwasababu ya dini ulikuwa radhi nchi itumbukie as long as mabwana zako waarabu watafaidi.
 
kichwa chako kimejaa kamasi. kama tusingesema nchi ilikuwa inaingia shimoni. hata Mh. Rais amekubaliana na sisi akaondoa vipengele vyote tata tulivyotaka viondoke, lakini wewe kwasababu ya dini ulikuwa radhi nchi itumbukie as long as mabwana zako waarabu watafaidi.
Teh teh teh.
Yaani nyie watoto kama jazba ingekuwa ni fedha basi mngekuwa milionares.
We una elimu gani ya kuweza kumshauri RAIS wa Nchi ?

🤣🤣
 
Teh teh teh.
Yaani nyie watoto kama jazba ingekuwa ni fedha basi mngekuwa milionares.
We una elimu gani ya kuweza kumshauri RAIS wa Nchi ?

🤣🤣
Rais hajashauriwa na wenye elimu tu, kwa mkataba kama ule hata wasio na elimu waliona wazi kuwa tunapeleka nchi shimoni. tungekuuliza wewe sana ambaye unaumia kwanini vipengele vinavyowapendelea waarabu vimeondolewa. imeisha hiyo.
 
Back
Top Bottom