badison
JF-Expert Member
- May 29, 2015
- 1,450
- 2,761
Mama alipo tupoTunashukuru kupata za ndani haya DP-WORLD waingie kazini tuchape kazi. Mama samia anaupiga mwingi sana 2025 - 2030
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama alipo tupoTunashukuru kupata za ndani haya DP-WORLD waingie kazini tuchape kazi. Mama samia anaupiga mwingi sana 2025 - 2030
Nyie wote kwishney😁😁Huko huko unakoona kupayuka ndiyo kumeleta matokeo haya,jifunzeni kuangalia mambo ktk angle nyengine zipeni siasa zenu limit ya kuzishabikia.
Serikali imepuuza tec sio wananchi.tec ni kikundi cha watu 30Wangerekebisha kanisa lingetwambia, kwa kuwa kanisa halijatuambia basi serikali imepuuza wananchi, kanisa, na watalaamu wote waliopinga mkataba huu.
Sema kikundi cha wahuni tuSerikali imepuuza tec sio wananchi.tec ni kikundi cha watu 30
Sawa basi inamankuswekeKuanzia leo mjijue na tec yenu kuwa ni irrelevant,kaeni mahalia penu pa kusamehe watch dhambi na kuwalisha sakrament
Serikali inaweza kulazimisha kila kitu ila final ninwananchi we p............mbiMkiambiwa hamuwezi kubishana na serikali mnabisha.
Waraka wa wiki sita, Umeisha kwa habari za Ndani kabisa, Na utekelezaji unaendelea. 📌🔨
Shujaa wa nini?Mmeanza dharau. TEC atabaki shujaa.
kama anasema hivyo atakuwa hajielewi, tulichokuwa tunakitaka kimefanyika, tushirikiane twende mbele.Sasa kama kila kitu kimerekebishwa mdude kwanini anaendelea kusema maandamano ya kupinga kuuzwa bandari yapo palepale tarehe 9 November? Huyu mdude ni kichaa?
Ulikuwa wapi kipindi prof shivji anauongelea huu mkataba wa IGA alisema mkataba hauvunjiki na mikataba inayokuja hatutoweza kuiona tenaKama maoni yamesikilizwa kwanini wapinge? Kutoka milele hadi miaka 30 hakuna atakayepinga kama ni kweli kinachosemwa…uzuri tuone huo mkataba ulivyobadilishwa
Hesabu zipi za uchaguzi wakati ikifika siku ya uchaguzi tunaona mabox ya kura, na kutangazwa kura za uongo?Walishindwa 2010,Bila waislam hushindi,wakatoliki wanadai wapo 13m,walutheri juzi wamesema wapo 8m,tufanye walokole wapo 5m,waliobaki katika 65m ni akina nani?..na si wakatoli wote watiifu,juzi kateuliwa naibu waziri mkuu toka kanda ya ziwa,leo kateuliwa mwenezi toka kanda ya ziwa,hizo ni hesabu za uchaguzi
Unawaamini hao watu ,mtu kama saa100 si yupo yupo tu ni bahati mbaya sana ni rshisWaraka wa TEC umepuuzwaje kwa mfano hapa? Hebu chungulia hapa
Atachelewaje wakati ni kampuni ya watanzania wenzetu hapa hapa?Kazi imeshaanza leo mkataba umesainiwa DP WORLD hawachelewi kuanza kazi.
Kura za uwongo,ulikuwepo kwenye kuhesabu?Hesabu zipi za uchaguzi wakati ikifika siku ya uchaguzi tunaona mabox ya kura, na kutangazwa kura za uongo?
Mkataba upi ule wa kiarabu au?
Unauliza au unapigia jibu mstari?Kura za uwongo,ulikuwepo kwenye kuhesabu?
Nchi nzima ilikua na vituo vingapi vya kura huo mwaka mnaibiwa!?..vyama vipo mijini tu na ofisi havina mnalia kuibiwa kura!!Unauliza au unapigia jibu mstari?
Huko aliko kavimba balaaMwadhama Protace Kardinali Rugambwa
Kanisa Moja Takatifu la Mitume 😀
Inaonekana hujui hata huo mkataba ulikuwa na vipengere gani!!! Kama ni kweli walichosema leo ndio huo mkataba ulivyo kuna mabadiriko makubwa sana!! (hao hawaaminiki) mwanzoni ilikuwa ni kuendesha bandari zote, ila sass ni dar tu, na sio kila sehemu, umri wa mkataba ulikuwa haujulikani lakini sasa ni miaka 30!!!ILA KAMA NI KWELI NDIO MKATABA ULIVYO.Kama hoja gani wakati wao walitaka dp World asiwepo kabisa Kwa maelezo kwamba tuendeleaa kujenga uwezo wa ndani?