Mkataba una miaka 30 na kila baada miaka 5.

Hizo porojo za kina Padri Slaa miaka 100 walipata wapi.

Hii nchi imejaa wajinga sana na chuki zisizo na maana.

Punguani yule mdude na wajinga wenzake povu linawatoka bure.
 
Slaa, mdudu, mwambulukuku, baraza la Maaskofu TEC wote wapo live sasa hivi, bila kumsahau #@anna Tibaijuka na Mama Amon.

Wote hao wapo live sasa hivi.
FAiza hivi vitu si vya kushangilia kama ushindani wa simba na yanga, hasa kipindi hiki ambacho tumepigwa deni na winshear group, The idea ni kuhakikisha vifungu vimenyooka kusiwe na matatizo baadae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…