Wale ropo ropo waje wapayuke tena
 
Kwasababu ya ule walaka wa TEC ilinilazimu kuiunga mkono Serikali kwenye issue ya DP world... nchi haiwezi kutishwa na taasisi za kidini na kushindwa kufanya maamuzi yake.

Serikali ni mali ya watanzania wote, taasisi za dini zisijifanye na kujiona zina nguvu kuliko serikali.

Huu ujinga wa kuendekeza hizi taasisi uko sana huku Africa na hili lipo makusudi kulinda maslahi ya mataifa fulani na vikundi vya watu fulani kuendelea kucolonise nchi masikini.
l
Hizi taasisi nyingine ni tools za wakoloni zilizoachwa kuendelea kusimamia maslahi ya wakoloni na kuendeleza uhuni wa kikoloni
 
Kwani TEC wanasemaje?
 
Mkataba una miaka 30 na kila baada miaka 5.

Hizo porojo za kina Padri Slaa miaka 100 walipata wapi.

Hii nchi imejaa wajinga sana na chuki zisizo na maana.

Punguani yule mdude na wajinga wenzake povu linawatoka bure.
Hapa ndo nimepaelewa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…