Utiaji saini Mkataba wa Tanzania na DP World: Mkataba utakuwa wa miaka 30 na utendaji kazi wake utapimwa kila baada ya miaka 5 na sio miaka 100
Naangali hapa hafla la utiaji saini mkataba wa Bandari,

Kuna mzungu anamwelekeza mwarabu nini Cha kufanya,

Na aliposaini mahala pake, anakataa kwenda kupata picha ya pamoja.

Sasa naelewa, nyuma ya Mwarabu wa DP World yupo mkoloni wetu.

HAKIKA, kumbe Mwarabu ni kibaraka wa mzungu.

Bado Tutaona mengi.
 
Ila kwa maoni yangu kumoa forum Huyo mjomba ni matumizi mabaya ya muda. Analeta uhamasishaji sehemu ambayo haiihitajiki. Watu washasaini.
 
Back
Top Bottom