Hao ni kama kuni na vidole mkuu. Vidole vinasogeza/vinasukuma kuni kuingia kwenye mafiga/jiko ili kuni ziteketee lakini kamwe vidole havigusi moto.

Hawa nao wanachochea wenzao waingie kwenye matatizo wao wakiwa kwenye masofa wanachezea cm.
Yani kwenda kumpokea mpendwa wako unaingiaje!? Kwenye matatizo
 
Nyie si ndiyo mliyokuwa mking'ang'ania lock down!! Au covid19 imeisha!!

Polisi wamezuia hiyo mikusanyiko isiyo na kibali. Mkikusanyika ni kutotii amri ya polisi hivyo kipigo cha mbwa mwizi ni halali yenu
 
Nasie tunajiandaa hapa na zana zetu..kila mtu anapata maelekezo lakin mioyoni mwetu hatuna ugomvi nae
Safari hii nani anataka kuwatuma kuja KUDHULUMU Raia wema haki zao za kuishi? Kule Pemba "Marehemu" alihusika kwa 100%, na kwa kweli leo hii Wapemba wote WANASHEREHEKEA kufuatia kifo cha ghafla cha MFITINI WAO huyo.
 
Asante sana mkuu, mimi ndio najongea hapo nikitokea Kibaha, InshaAllah kwa uwezo wa Mwenyezimungu tutampokea salama Jemedali wetu. Kibaha-Mbezi Mwisho-Kinyerezi-Segerea naibukia hapo AIRPORT.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787] kuna wabongo hamna cha kufanya hapa nchini,mnamaliza hewa tu ndo maana wakati mwingine hewa inakua nzito

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Tuna mkaribisha kiongozi wetu mbeba maono mh Lissu, tupo hapa kibaha kutokea Kakonko ili tumpokee kiongozi wetu mpendwa.
 
Mwambieni babu yenu aache kuteseka lissu lazima apokelewe kwa namna yoyote ile Sawa mjumbe?
Tunaendelea kusubiri nyomi. Saa saba sio mbali. Mpaka sasa sijamuona Mzee wetu Mbowe!!

Queen Esther
 
Naona tumefuatana sisi ndio tupo hapa picha ya ndege kibaha
Asante sana mkuu, mimi ndio najongea hapo nikitokea Kibaha, InshaAllah kwa uwezo wa Mwenyezimungu tutampokea salama Jemedali wetu. Kibaha-Mbezi Mwisho-Kinyerezi-Segerea naibukia hapo AIRPORT.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…