Kwakuwa alikuwa ni RAS wa aliyeondoka / aliyeondolewa Mimi binafsi nitakuwa wa Mwisho Kumuamini japo najua kwa sasa anajikosha tu Kwetu.
 
Ndio nasema maybe Kuna wahuni ndani ya ccm Kama hao watu wasiojulikana waliokuwa wanapoteza watu Mara wengine kukutwa kwenye viroba, ndio genge Kama Hilo mbona baada ya yule kutolewa hzo Mambo zikakoma ghafla za watu kutekwa na wasio julikana?
Yote kwa yote geshi letu limejitahidi Sana leo
 
Tundu Lisu aidhihirishia dunia kuwa atokako Ndio Kuna Corona Tanzania haina Corona kashuka kavaa Barakoa wanaompokea hawana Barakoa Asante Tundu Lisu kuitangaza Tanzania as a Corona free Country Duniani
Unaokoteza tu Ujinga, kama Corona hakuna msiba wa Uwanja wa Uhuru mmeutoa wapi?
 
Poleni kwa misiba. Nimefurahi pia kusikia hamjaathirika na hiyo Corona!
Mkuu Lisu alilishwa matango pori kuwa Tanzania Kuna Corona ya kufa mtu kashuka kavaa barakoa anashangaa wanaompokea hawajui hata Corona ni nini?

Tanzania we are zero corona message iwafikie CNN, BBC, Aluazeera, DW etc ushahidi Lisu na Barakoa lake na waliompokea wasio na barakoa
 
Nadhani ndo maana ya kutoa taarifa mapema ili wahusika waweze kufanya plan mapema kwa usumbufu wowote unaoweza kujitokeza.
Tatizo lao wafuasi wa CDM ni kama kuku wakienyeji awafugiki hata wakipewa utaratibu lazima waruke upande wa pili kuzuia shughuli za wengine; polisi leo naona walijipanga kutokutoa kiki kwa sababu zozote.

Baada ya leo sijui ana kitu gani kingine cha kuwapa watanzania zaidi ya ile story yake ambayo kama vile inaanza kuchosha kuisikiliza.
 
Ukiwa nje ya nchi na ukipanda flight kuvaa barakoa ni Jambo la lazima hutaki Baki hata mashirika ya nje bila barakoa huiingii nayo ofisini.
 
Hahahaaa hawajielewi hao.

Mara wajifungie ndani wakiogopa corona, leo wako nje hata barakoa hawajavaa
 
Usichokipenda lazima kikuchoshe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…