Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Kakundi kadogo kamekaa chini kwenye meza Tena kitulivu hasaaa😂😂 namuona Sugu anavyowachangamsha yaani Jamaa walipiga Sana Mikwara mimi nikadhani wanakuja kama ISIS kumbe raia wachumba tu😂😂😂😂😂